makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,858
- 106,761
Nikimtizama akiwa benchi naona anakosa furaha, hajioni kama yeye ni mchezaji wa benchi, haoni kama yule anayeanza kamzidi. Kuna wachezaji wakianza nawe uko benchi wala husononeki, unachoombea ni timu ipate matokeo mapema/waumie au kuchoka ndio upate nafasi, na wakati mwingine wakiumia na matokeo bado hata wewe wa benchi unasononeka(unapagawa)Jesus akiondoka ni maamuzi ya bodi zaidi kuliko ya Arteta


BREAKING: Lucas Hernández has torn his ACL and he will be out for the next 6/7 months.
"