




+BrightonNewcastle wanatisha hawa washenzi ,hizi timu , Newcastle ,Aston villa ,aisee Ukijichanganya zinakukanda ipasavyo

ama kwl tunatofautiana sana kwny uwezo wa kung'amua mambo.

Haaaaa ubingwa sahau.Arteta says Odegaard has been playing with an injury in recent weeks.
"Martin has been carrying a little thing that has not been very comfortable." #AFC
Ni kweli haaaaBado mashabiki tunadhani Arsenal Ni sawa na butua butua ya manjesta
Liver naona walilianzisha sasahv marefa hawawazoei tena...hili zimwi limehamia kwetu....ule mpira inaonekana ulitoka kabisa....halafu tena Gabriel alisukumwa na msela kwny like goli🤠🤠🤠...ila ndo hvyo tukubali tumedundwa tu😂Msamaha watatuomba tu, huyu bruno tu, hapaswi kuwepo uwanjani mpaka muda huu
Yah, kukubali lazima, tumefungwa hilo halina ubishi.Liver naona walilianzisha sasahv marefa hawawazoei tena...hili zimwi limehamia kwetu....ule mpira inaonekana ulitoka kabisa....halafu tena Gabriel alisukumwa na msela kwny like goli🤠🤠🤠...ila ndo hvyo tukubali tumedundwa tu
Na ndo dunia ilivyo.Heshimuni mawazo tofauti na yako, msikimbilie matusi wenyewe kwa wenyewe
Yah, kukubali lazima, tumefungwa hilo halina ubishi.
Mkuu salama lkn?Mkuu nakuomba sana...nyamaza tu shetani apite...huu ni mpira tu Haina haja ya kujichumia madhambi yasio na sababu kwa kutukanana na mtu ambaye hata hamjuani...kausha tu...siku itapita
