Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,980
- 13,632
one more goal comingGame over!
Torreira 4-3-3 formation inamsumbua hasa anapochezeshwa kama Right midfielder anakuwa hachezi vzuri pale anapocheza xhaka ndo anatakiwa acheze yeye sasa ila sio anapochezeshwa kwenye hizi gemu 4 zilizopita...anyway tumeanza mwaka na ushindi 4-1 is the perfect results for us next game Blackpool FA cup
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap,ila marefa sijui wakoje, kachezewa rafu wameachaHiyo ni temporary kulingana na game.
Ndo maana alianzia bench.
Leo umerudi kwa nguvu zote ........ Hongera kwa ushindi Mkuu
Nipo dailyLeo umerudi kwa nguvu zote ........ Hongera kwa ushindi Mkuu
Wakati uku kwetu Africa tukiwa kwenye kutawaliwa kumbe wenzetu walikuwa wanakipiga tu?
Zile sheria 17 za soka zilikuwepo?
Sent using Jamii Forums mobile app