Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Emery: "Our challenge now is to improve defensively. We are very happy with the attacking players, scoring lots of goals. We need defensively to take more balance and improve. We need to work and prepare for the second half of the season and do better."

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Emery on January transfer market: "It's not easy but the club is working. We are watching different possibilities and maybe we can if the transfer market gives us some opportunities we can sign one or two players."

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi kwa maoni yangu we have good players kinachohitajika ni seriousness na consistence .

Halafu pia game hubadilika sio kila wakati mambo yatakua sawa. Pia hii timu yetu majeruhi ni wengi tena ni wale wachezaji wa kutegemewa kama Holding, Belarin, Monreal, koscienlny amerudi juzi. Wachezaji wajitahidi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
But style ya emery hio ya kudefend high line na kutegemea off side trick mim hua sipend nakosa amani kabisa ukizingatia mabeki wetu ukimtoa bele hawana spid kabisa so lineman akijisahau kidogo mtihan...so aongeze beki mmoja wa kati mwenye speed pia awe fundi wa pasi....
 
Screenshot_20190101-213540.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi kwa maoni yangu we have good players kinachohitajika ni seriousness na consistence .

Halafu pia game hubadilika sio kila wakati mambo yatakua sawa. Pia hii timu yetu majeruhi ni wengi tena ni wale wachezaji wa kutegemewa kama Holding, Belarin, Monreal, koscienlny amerudi juzi. Wachezaji wajitahidi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Holding kuna wachezaji alikuwa amewafichia udhaifu wao, maana ndiye mchezaji pekee wa nyuma mwenye speed ya kukaba na kukimbia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi kwa maoni yangu we have good players kinachohitajika ni seriousness na consistence .

Halafu pia game hubadilika sio kila wakati mambo yatakua sawa. Pia hii timu yetu majeruhi ni wengi tena ni wale wachezaji wa kutegemewa kama Holding, Belarin, Monreal, koscienlny amerudi juzi. Wachezaji wajitahidi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea kama mtu anayeujua mpira. Kwenye game kubwa tuliweka wachezaji wa kikosi b ambao wanetoka maheruhi ilikuwa ngumu.
Tuendelee kumuamini kocha na kuombea majeruhi wapone haraka. Hao watatu ndiyo beki kiini arsenal hasa monreal na bellerin.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dirisha la usajili limefunguliwa toka jana. Je Arsenal itamsajili nani?

Mpaka sasa haijajulikana nani na nani atasajiliwa. Emery mwenyewe jana kaulizwa kuhusu usajili akasema ni vigumu kusajili mchezaji mzuri January ingawa viongozi wanafanya kazi kwa bidii na mazungumzo yalikwishaanza kwa baadhi ya wachezaji. Pia alisema atasajili mchezaji mmoja au wawili. Alipoulizwa kuhusu Cahill, Emery alisema hawajaongea kuhusu Cahill.

Kwa maoni yangu, sitashangaa tukisajili mchezaji mmoja tu halafu msimu ujao usajili mkubwa tukasajili wengi. Hii ni kwasababu siwaoni wachezaji wafuatao kuendelea kubaki Arsenal msimu ujao

Cech
Ramsey
Elneny
Monreal
Jenkinson
Koscienly
Ozil nampa 50/50
Babu mswisi pia ataondoka

Hivyo hapo natarajia tutasajili si chini ya wachezaji watano
afcupdates1-20190102-0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dirisha la usajili limefunguliwa toka jana. Je Arsenal itamsajili nani?

Mpaka sasa haijajulikana nani na nani atasajiliwa. Emery mwenyewe jana kaulizwa kuhusu usajili akasema ni vigumu kusajili mchezaji mzuri January ingawa viongozi wanafanya kazi kwa bidii na mazungumzo yalikwishaanza kwa baadhi ya wachezaji. Pia alisema atasajili mchezaji mmoja au wawili. Alipoulizwa kuhusu Cahill, Emery alisema hawajaongea kuhusu Cahill.

Kwa maoni yangu, sitashangaa tukisajili mchezaji mmoja tu halafu msimu ujao usajili mkubwa tukasajili wengi. Hii ni kwasababu siwaoni wachezaji wafuatao kuendelea kubaki Arsenal msimu ujao

Cech
Ramsey
Elneny
Monreal
Jenkinson
Koscienly
Ozil nampa 50/50
Babu mswisi pia ataondoka

Hivyo hapo natarajia tutasajili si chini ya wachezaji watanoView attachment 983504

Sent using Jamii Forums mobile app

Usajili January unakuwaga mgumu sana kupata wachezaji wazuri sokoni, na wanaopatikana wanakuwa na bei kubwa sana.

Mpaka sasa nasubiri kuona ili nijihakikishie kwamba Transfer Policy ya Arsenal ilikuwa rigid kwa sababu ya Wenger au Wamiliki?

Kama Emery atapewa hela ya kutosha kufanya usajili, wamiliki watakuwa wametuthibitishia kwamba Wenger ndo alikuwa mgumu.
 
Usajili January unakuwaga mgumu sana kupata wachezaji wazuri sokoni, na wanaopatikana wanakuwa na bei kubwa sana.

Mpaka sasa nasubiri kuona ili nijihakikishie kwamba Transfer Policy ya Arsenal ilikuwa rigid kwa sababu ya Wenger au Wamiliki?

Kama Emery atapewa hela ya kutosha kufanya usajili, wamiliki watakuwa wametuthibitishia kwamba Wenger ndo alikuwa mgumu.
Policy ya arsenal ni ile ile

Kwasasa arsenal mpaka iingie CL ndio itamwaga hela kwa wachezaj wa £70m na kuendelea

Ila sasa hiv itaendelea kununua wachezaj wa £15-35m

Na hii klabu ilishasema kutokucheza UCL kumeikost,

Ndio maana dirisha lililopita emery alipewa £70m tu



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom