Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Bahat yenu, yan nisingewadhamin tena
20190101_200121_rmscr-1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Torreira 4-3-3 formation inamsumbua hasa anapochezeshwa kama Right midfielder anakuwa hachezi vzuri pale anapocheza xhaka ndo anatakiwa acheze yeye sasa ila sio anapochezeshwa kwenye hizi gemu 4 zilizopita...anyway tumeanza mwaka na ushindi 4-1 is the perfect results for us next game Blackpool FA cup

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Torreira 4-3-3 formation inamsumbua hasa anapochezeshwa kama Right midfielder anakuwa hachezi vzuri pale anapocheza xhaka ndo anatakiwa acheze yeye sasa ila sio anapochezeshwa kwenye hizi gemu 4 zilizopita...anyway tumeanza mwaka na ushindi 4-1 is the perfect results for us next game Blackpool FA cup

Sent using Jamii Forums mobile app

Hiyo ni temporary kulingana na game.

Ndo maana alianzia bench.
 
Hata mgonjwa akipata ahueni, si huwa anataka hata kusimama mwenyewe?
 
Back
Top Bottom