klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
Dah! na kwa mtindo huu mzee tumekubali kutoa sight, lakini poa sisi tukiinyaka ya nne tu mambo mswano. Sasa tunawaombea njaa blues na geordies.Imebaki point moja tu!
Dah! na kwa mtindo huu mzee tumekubali kutoa sight, lakini poa sisi tukiinyaka ya nne tu mambo mswano. Sasa tunawaombea njaa blues na geordies.Imebaki point moja tu!
Dah! sawa, hongereni bana.
Adui nimemwombea njaa sana lakini dua halikujibiwa.
Cambel walitaka kumuua alipotoka spurz akajipeleka gunners. Wanasemaga ili ukuwe spurs wa ukweli lazima uichukie gunners no matter what.Mpende adui yako kama nafsi yako lol
heheh sawa bana! kuna shabiki la gunners limevunja gilasi za watu hapa pub na hela ya kulipa hana. Kajifanya ana furaha sana sasa yupo chini ya ulinzi mpaka alipe gilasi za watu.......kibelaaaaaaaaaa.....nyavu zimenasa kibela! Ha ha ha...
heheh sawa bana! kuna shabiki la gunners limevunja gilasi za watu hapa pub na hela ya kulipa hana. Kajifanya ana furaha sana sasa yupo chini ya ulinzi mpaka alipe gilasi za watu.
......yaani ni raha tupu!!!!!
Big up kwa gunners wote...Spurs nepi zinawabana!
heheh sawa bana! kuna shabiki la gunners limevunja gilasi za watu hapa pub na hela ya kulipa hana. Kajifanya ana furaha sana sasa yupo chini ya ulinzi mpaka alipe gilasi za watu.
Na bado....Tunakuja kama maji ya MTO MBWEMKURU......
Dah! kwa zarau alizokuwa analeta wakati wa gemu hata Mungu atakuwa pamoja nami jamaa nikimtosa. Hamjapiga na blues wala city si ndio? acha tusubirie. finger xed....hahaha....mlipie bana....he he!
Dah! kwa zarau alizokuwa analeta wakati wa gemu hata Mungu atakuwa pamoja nami jamaa nikimtosa. Hamjapiga na blues wala city si ndio? acha tusubirie. finger xed