Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa ukweli nionavyo mimi timu yetu hii hii ya msimu huu sio kama ni mbovu ila kuna kitu kimekosekana, ukiangalia mechi ya jana inakatisha tamaa kabisa yaani wachezaji wetu kisaikolojia walionekana wako dhaifu, hakuna kucheza na ari, ukiachilia O. C, R.V.P na T.V.5 wachezaji waliobaki yaani walikuwa wanacheza kama wamelazimishwa na vigulovu vyao yaani inakera sana. Nidhamu pia mbovu, confidence zero.
Katika sifa kuu za meneja ni kuwajenga wachezaji kisaikolojia, kuwajenga confidence na ari ya kupigana 100% mchezaji akiwepo uwanjani , Arsene sio motivator kama Redknapp ama O'Neill. Tatizo la Wenger ni mkaidi, nadhani anahitaji kuajiri msaidizi mwenye sifa za kuwajenga imani wachezaji na mtu ambaye ni motivator. Wachezaji hawa-hawa tulionao kama watapata meneja kama Redknap watacheza kwa asilimia 100% angalia mfano tofauti ya Gallas ama Adebayor wakati wapo Arsenal na walipojiunga na Spurs! Mijichezaji yetu kama Arshavin, Walcoltt, Chamakh, Diaby na Djorou inacheza mechi nyingi chini ya kiwango 50% still bado ipo inachaguliwa mechi hadi mechi na inatukosti mechi hadi mechi.
Ni wakati sasa wa kumuwajibisha Wenger kwa sababu atueleze kwa nini wachezaji wake hawachezi kwa kujituma 100%? Tatizo ni nini? Wapenzi tumechoka sasa.

Napingana na wewe mkuu , vijana walijitahidi sana sema mechi ilikuwa ngumu. Mimi nawapongeza walicheza kwa ari kubwa sema kama utazungumzia uwezo hilo swala lingine...
 
Ubingwa ni Manchester United nafasi ya pili ni Manchester City nafasi ya tatu ni Spurs ya nne Chalsea.

Endelea kuota na mashoga wenu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Arsenal set-up not modern enough says Arsenal Supporters' Trust


By John Sinnott
BBC Sport
A leading group of Arsenal shareholders has questioned whether the club is "set up for the modern world".
The Arsenal Supporters' Trust has also called on American billionaire Stan Kroenke, who owns a majority stake in Arsenal, to "refresh the board".


"Are resources being held back as a contingency for failure to qualify for the Champions League?"


Arsenal Supporters' Trust


"More infrastructure is needed around Arsene Wenger, or whoever the manager is," an AST spokesman told the BBC.
"It's a set-up dating from 1996, but without David Dein," he added referring to the club's ex-vice chairman.
Dein, who brought Wenger to Arsenal in 1996, was vice-chairman of the Gunners between 1983 and 2007, and is widely credited as being a key influence on the Frenchman during their 11 years together at the club, particularly as regards the buying and selling of players.


The AST, which published a detailed analysis of Arsenal's finances on Tuesday , is due to meet chief executive Ivan Gazidis and other senior executives on Wednesday and Friday, as part of regular meetings it holds with the Gunners heirarchy during the year.


BBC Sport - Arsenal set-up not modern enough says Arsenal Supporters' Trust
 
Je ni kweli tutaweza kujitetea hadi mwisho wa msimu kwenye hii nafasi ya 4?? Arsenal need to hardly maintain this!!
 
daaahhh, sikuzoea ku search kutafuta topic za klabu yangu humu. Tangu mod afanye mabadiliko na ku unstuck topics za vilabu 'maarufu' inabidi kufufua thread otherwise ndio zinapotea hivi..

IMO, msisimko wa jukwaa la michezo utapotea hivi karibuni...
 
Naona Mr. Bean kaamua kumtosa Captain wa Russia
 
[h=1]Arshavin joins Zenit St Petersburg on loan[/h]Andrey Arshavin has joined Russian Premier League champions Zenit St Petersburg on loan for the remainder of the 2011/12 English Premier League season.

The 30-year-old forward has scored 30 times in 133 appearances for the Gunners since joining the Club in February 2009 – among them, four goals in the same match against Liverpool at Anfield in his debut season, and the winning goal against Barcelona in last term's 2-1 UEFA Champions League victory at Emirates Stadium.

The Russia captain returns to his home city and former club, managed by Luciano Spalletti, in order to maximise his opportunities for regular first-team football ahead of Euro 2012 in June.

Everyone at Arsenal wishes Andrey well during his spell with Zen

Arshavin joins Zenit St Petersburg on loan | News Archive | News | Arsenal.com
 
Mnasikitisha The Gunners,Poleni tena!!..Halafu hii timu inampa presha sana mahabuba wangu, nimemwambia aache kushangilia anadai bado inatisha..khaaah!!!

Tuta bounce back soon, mitihani tu hii tunapitia.

Karibu kesho uone jinsi ushindi unavyotafutwa. Mambo ya kulemba (Wenger style) yanawekwa pembeni sasa, kufa na kupona mpaka mwisho wa ligi.
 
Naona Mr. Bean kaamua kumtosa Captain wa Russia

Gone too soon. I guess hii itafanywa kuwa permanent deal mwisho wa msimu! Naamini bado tulikuwa tunamuhitaji. Ninachoshindwa kuelewa ni kwanini Wenger hakutaka kusajili Januari alafu saa hizi anatoa wachezaji kwa mkopo wakati hali ni mbaya!
 
NOW THIS IS INTERESTING(COPIED AND PASTED FROM GTID PAGE)
Arsenal wages…

(pw/k) WAGE (p/yr)
Robin van Persie £90,000 £4,680,000
Andrey Arshavin £80,000 £4,160,000
Mikel Arteta £70,000 £3,640,000
Theo Walcott £70,000 £3,640,000
Thomas Vermaelen £70,000 £3,640,000
Yossi Benayoun £70,000 £3,640,000
Gervinho £70,000 £3,640,000
Manuel Almunia £60,000 £3,120,000
Per Mertesacker £60,000 £3,120,000
Sebastien Squillaci £60,000 £3,120,000
Tomas Rosicky £60,000 £3,120,000
Bacary Sagna £60,000 £3,120,000
Aaron Ramsey £55,000 £2,860,000
Alex Song £55,000 £2,860,000
Jack Wilshere £55,000 £2,860,000
Nicklas Bendtner £52,000 £2,704,000
Marouane Chamakh £50,000 £2,600,000
Abou Diaby £50,000 £2,600,000
Andre Santos £50,000 £2,600,000
Carlos Vela £50,000 £2,600,000
Denilson £50,000 £2,600,000
Johan Djourou £50,000 £2,600,000
Laurent Koscielny £50,000 £2,600,000
Lukasz Fabianski £40,000 £2,080,000
Wojciech Szczesny £40,000 £2,080,000
Ju Young Park £40,000 £2,080,000
Kieran Gibbs £40,000 £2,080,000
Vito Mannone £20,000 £1,040,000
Alex Oxlade-Chamberlain £20,000 £1,040,000
Carl Jenkinson £20,000 £1,040,000
Emmanuel Frimpong £20,000 £1,040,000
Ryo £20,000 £1,040,000
Francis Coquelin £15,000 £780,000
Henri Lansbury £5,000 £260,000
Ignasi Miquel £5,000 £260,000

RESERVES
Zak Ansah £1,000 £52,000
Daniel Boateng £1,000 £52,000
George Brislen-Hall £1,000 £52,000
Craig Eastmond £1,000 £52,000
Benik Afobe £1,000 £52,000
Chuks Aneke £1,000 £52,000
Sead Hajrovic £1,000 £52,000
Conor Henderson £1,000 £52,000
Gavin Hoyte £1,000 £52,000
Sean McDermott £1,000 £52,000
Jernade Meade £1,000 £52,000
Rhys Murphy £1,000 £52,000
Nigel Neita £1,000 £52,000
Oguzhan Ozyakup £1,000 £52,000
Sanchez Watt £1,000 £52,000
Icholas Yennaris £1,000 £52,000
Martin Angha £1,000 £52,000
Kyle Ebecilio £1,000 £52,000
Damian Martinez £1,000 £52,000
Elton Monteiro £1,000 £52,000
Jordan Wynter £1,000 £52,000
Jeffrey Monakana £1,000 £52,000
James Campbell £1,000 £52,000
Samir Bihmoutine £1,000 £52,000
Philip Roberts £1,000 £52,000
Ben Glasgow £1,000 £52,000
Reice Charles-Cook £1,000 £52,000
Alban Bunjaku £1,000 £52,000
Isaac Hayden £1,000 £52,000
Zachari Fagan £1,000 £52,000
Jon Toral £1,000 £52,000
Anthony Jeffrey £1,000 £52,000
Serge Gnabry £1,000 £52,000
Hector Bellerin £1,000 £52,000
Kristoffer Olsso £1,000 £52,000
Kyle Bartley £1,000 £52,000
Wellington £1,000 £52,000
James Shea £1,000 £52,000
Pedro Botelho £1,000 £52,000
Samuel Galindo £1,000 £52,000

FIRST TEAM STAFF
Arsène Wenger £135,000 £7,020,000
Pat Rice £30,000 £1,560,000
Boro Primorac £30,000 £1,560,000
Gerry Peyton £10,000 £520,000
Neil Banfield £10,000 £520,000
Tony Colbert £10,000 £520,000
Colin Lewin £10,000 £520,000
Gary O’Driscoll £10,000 £520,000
David Wales £10,000 £520,000
Simon Harland £5,000 £260,000
Kieran Hunt £5,000 £260,000
Darren Page £5,000 £260,000
Vic Akers £5,000 £260,000
Paul Akers £5,000 £260,000
Paul Johnson £5,000 £260,000
Tony Roberts £5,000 £260,000
Marcus Svensson £5,000 £260,000
Danny Flitter £5,000 £260,000
James Collins £5,000 £260,000
Ben Knapper £5,000 £260,000

RESERVES STAFF
Steve Bould £20,000 £1,040,000
Liam Brady £20,000 £1,040,000
David Court £5,000 £260,000
Roy Massey £5,000 £260,000
Steve Gatting £5,000 £260,000
Lee Smelt £5,000 £260,000
Carl Laraman £5,000 £260,000
Steve Leonard £5,000 £260,000
Craig Gant £5,000 £260,000
Dennis Rockall £5,000 £260,000
Richard Goddard £5,000 £260,000
Alastair Thrush £5,000 £260,000

BOARD
Stanley Kroenke £25,000 £1,300,000
Ivan Gazidis £18,000 £936,000
Peter Hill-Wood £1,500 £78,000
Ken Friar OBE £1,500 £78,000
Sir Chips Keswick £500 £26,000
Lord Harris of Peckham £500 £26,000

OTHER STAFF
Wages £300,000 £15,600,000

Total £2,499,000 £129,948,000
 
Gone too soon. I guess hii itafanywa kuwa permanent deal mwisho wa msimu! Naamini bado tulikuwa tunamuhitaji. Ninachoshindwa kuelewa ni kwanini Wenger hakutaka kusajili Januari alafu saa hizi anatoa wachezaji kwa mkopo wakati hali ni mbaya!
Nakubaliana na wewe pamoja na mapungufu ya Captain wa Russia,ilikuwa sio wakati muafaka kumuacha katikati ya msimu wakati hajapata replacement yake
 
Back
Top Bottom