MwafrikaHalisi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,741
- 511
We have to beat the scums
Kazi leo tunayo..Tuombe Mungu Gibbs aweze kumaliza game.
Sijui nani ata hold mpira kule mbele ili awavute mabeki wa spurs na kufungua nafasi kwa van persieOX na Gervinho wanaanzia Bench then Walcott ndani???? AW vp???
Nakubaliana na wewe pamoja na mapungufu ya Captain wa Russia,ilikuwa sio wakati muafaka kumuacha katikati ya msimu wakati hajapata replacement yake