Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread


...nahisi wale wasiomzimia Per Mertersacker leo wanaweza kuona kwanini ana fit vizuri na Kos,....kama Verminator anavyo partner vizuri na Djourou...

IMO leo hapa hatumhitaji Henry. Anahitajika The Ox upande ule wa kushoto, Rosicky acheze kati Ramsey aende ubao...

anyway, ARSENE WENGER knows better...
kipindi cha pili we'll come up strong...
 
Mhh magoli mengi si hata mawili ni mengi lol

Ha ha ha!Sikutaka kuwa TB Joshua, samahani wana gunners ila hili halihitaji kuwa na degree ya soka kama ipo lol!

Napenda Arsenal inapoccheza ile game yao na hilo ni kweli Wenger ana credit, lakini pia huwa sipendi kuwaona Arsenal wakitia huruma kiasi hiki, yani ukicheki unaona kabisa watabamizwa, na hii yote ni ukomunisti wa Wenger!

Mtu atakayesaidia kupunguza maguli hapo leo na ni endapo hatalimwa red card, ni Song.

Lakini ni ukweli wana bahati kuwa 2 nil down right now, wamekuwa too exposed na wanatia huruma, halafu ukiangalia hakuna other options bench, yani hana wachezaji, yote ukomunisti wake na ubahili, ni either abadilike ama aachie ngazi.
 
Huwa simkubali Wenga na tactics zake! Hii game kakosea kuipanga!

...mkuu, hizo 45 mins tactics zozote ambazo angepanga still milan nao walijipanga na tactics zao pia....tusubirie nxt 45 mins ndio tutaweza m judge na mabadiliko au la....

sina wasiwasi sana na game hili...uwezo wa kusawazisha na kuongeza bado upo...
WE ARE THE GUNNERS!!!
 

...nahisi wale wasiomzimia Per Mertersacker leo wanaweza kuona kwanini ana fit vizuri na Kos,....kama Verminator anavyo partner vizuri na Djourou...

IMO leo hapa hatumhitaji Henry. Anahitajika The Ox upande ule wa kushoto, Rosicky acheze kati Ramsey aende ubao...

anyway, ARSENE WENGER knows better...
kipindi cha pili we'll come up strong...
Tuendelee tu kujipa moyo. But Henry anahitajika angalau atufungie tu kamoko.
 
Huwa simkubali Wenga na tactics zake! Hii game kakosea kuipanga!

technics na tactics za huyu mzee na zenyewe zimesha expire hana uwezo wa kubadilika kutokana na hali halisi ya gemu apart from aina ya wachezaji alionao
 
Tuendelee tu kujipa moyo. But Henry anahitajika angalau atufungie tu kamoko.

...ok, TH12 anaingia kuchukua nafasi ya WALCOTT.....Tactical change? am not very convinced....wingers zetu zimepwaya leo, Gibbs na Sagna bado wamepwaya kwa mtazamo wangu...
 

lol....mrembo...upo? happy valentines bana....
urudi baada ya dakika 45 za kipindi cha pili...

BTW, alhamisi mnacheza wapi? heheh

Hahhaha kumbe timu yake BJ imeahamia mechi za Alhamisi lol .

BTN
if not two we need atleast one goal . Hawa waitali waija na advantage ya goli mbili Emirates si mchezo
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
kwa uoni wangu Bacari beki 2 ni uchochoro , namba 3 ni njia na kule wingi ndio huwezi sema kitu rosisci ni mzuri kwa kati sio wingi na Walcort leo hana kitu
AC kila mtu anajuwa hawana ngarengare wao ni kazi nahasa kwa leo kwani mara zote wanatolewa na timu za UK
Ikiwsa Arsene hatabadilisha mtindo mimi natowa pole mapema
 
I smelled a bunch goals, and that is exactly whats happening, ina maana hakuoversee haya yote?

Afanye kazi yake na upande wa business awaachie wenyewe, yani ni kweli alikuwa haitaji kusajili wachezaji na pesa zilikuwepo?

Boya kabisa huyu wenger, wenge!lol
 
Ttaizo la arsenal wancheza mpira kwa kasi ya AC Milan sasa sijui may be tutasingizia uwanja lakini hata attemp moja sijaona kipindi cha pili.
 

...mkuu, hizo 45 mins tactics zozote ambazo angepanga still milan nao walijipanga na tactics zao pia....tusubirie nxt 45 mins ndio tutaweza m judge na mabadiliko au la....

sina wasiwasi sana na game hili...uwezo wa kusawazisha na kuongeza bado upo...
WE ARE THE GUNNERS!!!

Nakuonya mkuu sio Aston Villa hao....wapo kikamilifu hao
 
Gibbs ndio wa kucheza game kama hii??kweli mmeshiba ushindi
 
Makocha wazuri wako wengi siku hizi, kinachohitajika ni uwezo wa kununua wachezaji, hilo wenger bado halitambui as yuko kwenye past paradigm na hawezi ona.
 
Back
Top Bottom