Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

...kiukweli tunahitaji goli angalau goli moja hapa, otherwise tutabakia kuangalia wale jamaa wa alhamisi...
dahhh. tumeishiwa.....la nne hilooo
....:A S-coffee:

Mkuu mkitoka hapo ndio mnatufata au inakuwaje??
 
....hands down, leo tumefungwa na a very good AC Milan team....:A S-coffee:
 
Robinho-AC-Milan-San-Siro-Champions-League3_2719314.jpg

Robinho-AC-Milan-San-Siro-Champions-League4_2719317.jpg
 
Nyie Arsenal bora nilale mana sioni hata ninachowaangalia. Leo mtaiota hii mechi mpaka muwe na midadi!
Poleni sana watani ila tumeshazoea matokeo yenu..veri easy kutabiria. Alhamisi mkamilishe ratiba, AC wameshapita.
Bora ukalalae BJ ila isije ika haya matokeo yaka yanaakisi motekeo yenu ya alhamisi. Uzuri na nyie mshatolewa humu la sivyo maumivu yangekuwa mara kumi zaidi
 
Gibbs na Chamber-lan ndio wa kubadilisha matokea,mnafanya mchezo nyinyi.....
 
Goli la kwanza kosa la Vermaeleni
Goli la pili kosa la Koscienly
Goli la tatu kosa na Vermaelen
Goli la nne kosa la Djourou!

Tutamkumbuka Mertasach sana!!!
 
Poleni sana ndugu zangu,ila mkija kwenye like jukwaa kule tuheshimiane na mambo ya Alhamisi hatuyataki coz na nyinyi mmeshatolewa tayari
 
Nyie Arsenal bora nilale mana sioni hata ninachowaangalia. Leo mtaiota hii mechi mpaka muwe na midadi!
Poleni sana watani ila tumeshazoea matokeo yenu..veri easy kutabiria. Alhamisi mkamilishe ratiba, AC wameshapita.

Wewe unashangaa kuchapwa goli 4 wakati wenzio walishawahi kuchapwa 8?! Yawezekana wenzio wameshazoea.
 

Champions league race's all over....dahhh....! kifo cha wengi harusi.
man united, man city, arsenal.....
:A S-coffee:
 

...keep your heads up!
-we are the gunners!-

together we stand
....

...dakika 90 zimekwisha...
90minutes to go in EMIRATES STADIUM!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom