Makocha wazuri wako wengi siku hizi, kinachohitajika ni uwezo wa kununua wachezaji, hilo wenger bado halitambui as yuko kwenye past paradigm na hawezi ona.
lol....mrembo...upo? happy valentines bana....
urudi baada ya dakika 45 za kipindi cha pili...
BTW, alhamisi mnacheza wapi? heheh
Kumbe na wewe BJ mchokozi . timu unaypendelea wewe ni ipi ? au ilishatolea kwenye hilo kombe zamani ndio maana umepata muda wa kuja kuchokoza lol hahahhha
Kaanza na kadi ya njano.......ok....song centre half sasa.... heheh.....
naona AW analia,cjui analia nini wakati kapenda mwenyewe!
...kiukweli tunahitaji goli angalau goli moja hapa, otherwise tutabakia kuangalia wale jamaa wa alhamisi...
dahhh. tumeishiwa.....la nne hilooo....:A S-coffee: