Nyaluhusa87
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 1,303
- 262
bonge la goli limefungwa na Boateng...Acm 1-0 Arsenal dk 15
Tunafungwa mapema yote hii.
Goli la boateng zuri sana
rejao fanya mambo goli lirudi . Ila kweli goli tamu japo linauma
wenger anawabeba hawa watoto na hakuna cha maana sana wanachokifanya, na walcot leo yuko out of form kama sio gemu kumshindaWalcot na Ramsey...hopeles!!
nadhani tukijaliwa sana ni dar au mbili moja.2-0!
Sidhani kama kuna ushindi tena hapa.
Arsenal hapa tunapigwa nyingi
,,,,calm down guys, we are still safe!....:A S-coffee: