Kesho sijui niwe upande gani hata kati ya Manure na Chelsick......
Hongera sana mashabiki wenzangu wa Arsenal, tusherekee kwa kweli,siku kama hizi ni chache sana.....VIVA ARSENAL.....VIVA !😛oa
Yeah nakubaliana na wewe mkuu. Man City leo kashinda, so kushindwa kwa Man Utd hakuna msaada wowote kwetu. Chelsea inatakiwa afungwe ili tumkaribie kwenye nafasi ya nne. Kwa mara ya kwanza kesho nitataka Man Utd washinde!!!hapana wakuu bora chelsik afungwe itakuwa advantage kwetu
Yeah nakubaliana na wewe mkuu. Man City leo kashinda, so kushindwa kwa Man Utd hakuna msaada wowote kwetu. Chelsea inatakiwa afungwe ili tumkaribie kwenye nafasi ya nne. Kwa mara ya kwanza kesho nitataka Man Utd washinde!!!
Mi nataka Manure washinde.......nataka gemu ya leo iwe droo tu...
Ndetichia, naona unawahofia sana man Utd! Mkifanya mzaha msimu huu mnatoka bila kikombe chochote!nataka gemu ya leo iwe droo tu...
Mwaka huu Bingwa atakuwa ni Man Utd.........Ndetichia, naona unawahofia sana man Utd! Mkifanya mzaha msimu huu mnatoka bila kikombe chochote!
Mwaka huu Bingwa atakuwa ni Man Utd.........
Tusubiri na tuone....itakuwa baadae sana...
asante nawe hongera Michelle wakitupa raha namna siku za kuishi zitaongezeka
Mi nataka Manure washinde.......
Leo support yangu ni kwa Man Utd.....