Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tatizo let ni AW na mfumo na si kingine.........

Binafsi naumia kama unavyoumia wewe lakini ndo malipo ya KUPENDA hayo.........A

Always a gunner.......
Mkuu,yaani we acha tu! naipenda Arsenal kupita maelezo....yaani Arsenal ni kama dini yangu!.
Lakini Arsenal ya miaka hii 3 iliyopita si lolote si chochote ni kutafutiana presure tu.
Kusema kweli imeniumiza sana! kibaya zaidi unalipia Dstv primier 130,000 kwa mwezi alafu timu yako haifanyi vizuri'shit!!!!
 
huyu dogo huyu... duh


429075_161750977273008_100557246725715_251661_1460232407_n.jpg

Hakika huyu dogo ni kifaa sana na ni future mzuri sana kwa Arsenal,lakini baada ya miaka 2 au 3 utasikia huyu dogo anatakiwa na
Barca au Madrid....tutapiga kelelewee ili asiondoke,lakini mwisho wa siku dogo huyoooo Barca,Madrid au Man city. Sasa utaratibu huu
mpaka lini? kwanini wenger ajifunzi toka walipoondoka wakina Flamini,Henry,Fabrigas,Nasri nk.kuwa hakuna tunachokifanya zaidi ya
kutwanga maji kwenye kinu?
 
Hakika huyu dogo ni kifaa sana na ni future mzuri sana kwa Arsenal,lakini baada ya miaka 2 au 3 utasikia huyu dogo anatakiwa na
Barca au Madrid....tutapiga kelelewee ili asiondoke,lakini mwisho wa siku dogo huyoooo Barca,Madrid au Man city. Sasa utaratibu huu
mpaka lini? kwanini wenger ajifunzi toka walipoondoka wakina Flamini,Henry,Fabrigas,Nasri nk.kuwa hakuna tunachokifanya zaidi ya
kutwanga maji kwenye kinu?

sasa mkuu ulitaka wenger asingemnunua sababu ya kuogopa akikua atakimbia barca ...

usijali mkuu dogo ni muingereza na waingereza wana kuwa loyal .. na pia wanapenda ligi ya kwao ili wapate nafasi timu ya taifa ...

ox ni future na atakuja kuwa captain one day ...
 
sasa mkuu ulitaka wenger asingemnunua sababu ya kuogopa akikua atakimbia barca ...

usijali mkuu dogo ni muingereza na waingereza wana kuwa loyal .. na pia wanapenda ligi ya kwao ili wapate nafasi timu ya taifa ...

ox ni future na atakuja kuwa captain one day ...
Mkuu,hata mimi naomba iwe hivyo i mean huyu dogo asiondoke.
Lakini kumbuka hata Ashiley cole ni mbegu ya AW na ni muingereza, Je akuondoka Arsenal?
Alafu hata hivyo hoja yako haina mashiko ki upana....mbona MAN U na MAN CITY wana maforena kibao na mbona hawaondoki?
tena wanacheza vizuri na kwa moyo wao wote kisha wanashinda. All in all lazima tukubali Wenger ni tatizo kubwa sana ndani ya Arsenal....sitaki hata kumuona
 
Hii Gemu leo tumecheza vizuri kwa Sababu Ramsey ajapangwa leo.. Kila idara ilikuwa imetulia. From defence>midfield>strickers.. Rosicky awe anaanza na ramsey awe anatokea Benchi.
 
Oxlade Chamberlain ni moto wa kuotea mbali.. Dogo ana Confedence, plus ana skills. Capello lazme amjumuishe kikosini euro 12
 
dah!leo kweli nimekosa bonge la mechi,inaniuma sana...big up all gooners fans
 
sasa mkuu ulitaka wenger asingemnunua sababu ya kuogopa akikua atakimbia barca ...

usijali mkuu dogo ni muingereza na waingereza wana kuwa loyal .. na pia wanapenda ligi ya kwao ili wapate nafasi timu ya taifa ...

ox ni future na atakuja kuwa captain one day ...
Huyu dogo atang'ara sana lakini hawezi kuwa captain ila jack wilshere atakuwa captain in the near future.Bravo gunners for the marquee victory but AW must GO!
 
Hongereni wazee, ila wacha anawaangusha kapewa mpunga ili aache kuleta mapicha hapa, ngoja nijaribu kuyapakuwa
 
Wenger bana....Anaendelea na blah blah zake...lol...

Calm down, Arsene tells fans


ARSENE WENGER tried to rally grumpy Arsenal fans by telling them: At least we're not like Liverpool.

The Emirates boss is under fire after his side's run of four games without a win saw them slump to seventh in the table.Gunners have gone eight years without winning the Premier League and six years with no silverware at all.But Wenger hit back by taunting rivals Liverpool, who have not lifted the title since 1990.He said: "I don't look at the table. Never. It's very tight, it's like that."We are in January and it can happen that we are seventh. But we are in a competition with Liverpool, who have not won the league for 22 years."You have always to be humble and fight hard and support your team."I believe that we have played some great football this season and we have to focus on that. Football is a happy moment where people come together to watch the team they love."I am here to make all of the fans happy and when I do not manage to do it I am, of course, not happy."What is most important is that we have our fans happy at the end of the season."I know it is always a depressed job to judge the immediate situation, but we have a longer target - to go until May with a determined attitude with belief."Overall I feel this team is strong mentally. We are ready for a fight and that is the most important thing."Arsenal have never failed to qualify for the Champions League, But they face Blackburn today five points adrift of fourth-placed Chelsea and a massive 12 behind bitter North London rivals Tottenham.The Frenchman added: "It is a worry because nobody guarantees you will be in the Champions League."Nobody has been in it more than us. We have played 15 years on the trot in the Champions League and we play AC Milan in the last 16 in 10 days' time."My wish is that the next 16 years will be exactly the same for the club and the fans will be happy."Wenger also blasted the Emirates boo-boys who have targeted Andrey Arshavin

Arsene Wenger tells Arsenal fans: At least we’re not like Liverpool | The Sun |Sport|Football
 
Hongereni wazee, ila wacha anawaangusha kapewa mpunga ili aache kuleta mapicha hapa, ngoja nijaribu kuyapakuwa

Najua kwa nini unajikombakomba habari za kesho bado kukaa vijuri juu yako khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Endelea tu, lakini Prof haendi kokote wasiomuhitaji wanaweza kuhama timu for the moment hadi aondoke, hata vijana wa leo ndiye anawafunda. As I said before the most consistence team kwa mechi zilizobaki ndiye atanyakua EPL come May, haya mengine ni maloloso tu.

BTW nice pic .... ..... .... karibu sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom