Tatizo let ni AW na mfumo na si kingine.........Kufungwa na BB si tatizo....tena ukizingatia timu yenyewe imecheza mechi 5 au 6 mfululizo bila kufungwa. Lakini timu yetu sisi inatia aibu bin kinyaa, yaani tunafungwa fungwa ovyo kama changu anaejiuza! kusema kweli Arsen wenga na Arsenal yake wameniboa
mpaka basi!. Hao MAN U ndiyo wametugeuza kama timu yao ya kuja kuchukulia mazoezi ili wakacheze na Liverpol au Barca
Wakuu hongereni sana kwa kushinda ila mmeshinda kwa bahati tu,
Leo naona mmekuja mashabiki wa Arsenal last game mlikimbia jukwaaa....
seriously .. bao 7 zote bahati...?? duh
Yule babu huwaga akosi maneno hata siku moja....lakini kwa mpenzi wa Arsenal mwenye akili timamu hawezi kuzuzuka na maneno yautamsikia AW:we r know back... shiit
Yaani goli 7 zote za kubahatisha..........Wakuu hongereni sana kwa kushinda ila mmeshinda kwa bahati tu,
Ningekuwa na uwezo ningemfukuzia mbali AW........Lakini ndio hivyo tena,hakuna jinsi inabidi kufa kijerumani tu na tai shingoni....Yule babu huwaga akosi maneno hata siku moja....lakini kwa mpenzi wa Arsenal mwenye akili timamu hawezi kuzuzuka na maneno ya
Wenger
Ramsey ni tatizo kubwa sana Arsenal......Mara nyingi ndiye amekuwa akitukosesha ushindi....Kumbe tulikuwa hatushindi kwa sababu ya Ramsey!! Yule dogo ana kimavi!!