Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Good to see Gibbs on the bench.
Labda atakuwa ameshabadilika! Walcot ndio naona mchezo wake ni wa kubahatisha. Kama leo anaharibu tu!Ok!!! U r possibly ryt!!! Lakini mwache acheze kuliko RAMSEY.... besides Bent Hayupo!!!!!
Labda atakuwa ameshabadilika! Walcot ndio naona mchezo wake ni wa kubahatisha. Kama leo anaharibu tu!
Ngoja tuone leo atafanya nini. Naona the OX naye leo hayupo fitHis pace Helps at times