Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Si mchezo......
Hii mechi mmekutana na wachovu tu
Leo tumeokota kibonde....binafsi wala sishangilii sana,kama timu yetu ingekuwa mzuri kwanini wasiifunge MAN U na MAN CITY?Zifike nane basi heh,hili fuko tumeliokota leo
Si mchezo......
Kwani hawa wachovu si na nyie 'mliwafunga' 3-2?......lolHii mechi mmekutana na wachovu tu
Amesahau kwamba hawa Blackburn waliwafunga 3-2acha wivu wewe.
Tukifungwa unasema wabovu, tukishinda unasema tumekutana na wachovu.
Man Utd alifungwa ngapi na B. Burn vile?
Leo tumeokota kibonde....binafsi wala sishangilii sana,kama timu yetu ingekuwa mzuri kwanini wasiifunge MAN U na MAN CITY?
Mkuu, hakuna kitu hapo'Arsenal bado ni timu mbovu kushinda zote uingereza....sema tumeokota kibonde tuDuu! Leo wanaua mtu watoto wa wenger.
Kufungwa na BB si tatizo....tena ukizingatia timu yenyewe imecheza mechi 5 au 6 mfululizo bila kufungwa. Lakini timu yetu sisi inatia aibu bin kinyaa, yaani tunafungwa fungwa ovyo kama changu anaejiuza! kusema kweli Arsen wenga na Arsenal yake wameniboaAmesahau kwamba hawa Blackburn waliwafunga 3-2
Ya Ngoswe............Leo naona mmekuja mashabiki wa Arsenal last game mlikimbia jukwaaa....