Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Mbona pasi zetu zinapotea kinoma?
Mbona pasi zetu zinapotea kinoma?
Koskenly anataka kutucost leo! Naona kidogo angemzawadia Ngog goli kwa mara ya pili!!
Hapa bila goli kabla. Ya half time noma
Tunamhitaji uncle Tom, huyu ramsey hajui anachokifanya!!Mbona pasi zetu zinapotea kinoma?
Koskenly anataka kutucost leo! Naona kidogo angemzawadia Ngog goli kwa mara ya pili!!
Tunamhitaji uncle Tom, huyu ramsey hajui anachokifanya!!
yaani malengo ya baadhi ya wachezaji wa arsenal wanapokuwa uwanjani hayana tofauti na malengo ya club kwa ujumla,they r not serious enough
Huyu AW atamtoaje OX anamuacha Walcott?????
Huyu AW atamtoaje OX anamuacha Walcott?????
Sijui anatumia formula gani mkuu.