...tayari 2-2...wamuingize sasa shava bana...!
hahahahahah lol! Mkuu mbu vipi tena banaaaa unataka aje afungishe goli banaaa? Lol!
3-2 arsenal 🙂🙂🙂
Asavali....Maana mie hapa Presha ilikuwa inapanda tu bila kushuka......Naona inaanza kushuka sasa
...tayari 2-2...wamuingize sasa shava bana...!
Nahisi kama tunabebwa vile.....Nina mashaka sana na ile penati ya 2....Mhh Leo vipi mbona penalty nyingi
Tatizo timu yetu siku hizi haieleweki mkuu......haha told u mkuu walikuwa wakiongoza tu .. ila beki zetu zijitahidi