BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Mnabebwa wakuu maana penalt ziwe mbili??
hahahahaha lol! Haya Mkuu wache tubebwe lol!!!! Mzima wewe lakini? 🙂
Mnabebwa wakuu maana penalt ziwe mbili??
Mnabebwa wakuu maana penalt ziwe mbili??
Mwambieni Wacha kila timu inabebwa leo zamu yenu
Mkuu hawawezi kukubali hawa penalt mbili za nini sasa??
tulia man hadi game iishe ...
Na benki tunamsindikiza refa kwenda kufanya deposit.
Sana mkuu bora umekubali, maana mechi kama hii msingeweza kupata goli tatu mfululizo
hahahahaha lol! Haya Mkuu wache tubebwe lol!!!! Mzima wewe lakini? 🙂
ushindi ushindi tu ila kikosi chetu bado saaaana yaani.... tunasafari ndefu ... ila hongera Goonerz!!! haters uwanja wenu ongeeni sasa game ishakwisha
Mkuu kabisa aisee mechi kama hii goli tatu ni impossible, hahaha ila mmeshashinda hii game, pia me mzima mkuu wangu sijui wewe pande zako salama lakini??
...jumapili imeisha vizuri, baada ya badpatch, ...tuelekeze nguvu kwenye champions league sasa maana siye ndio tegemeo kwenye jukwaa hili la michezo, hakuna mwakilishi mwingine baada ya man u na man city kutolewa! hehehe...
chelsea wananikodolea...!
ARSENAL, Together we stand,.....