Counter attack ya nguvu jamaa wamepiga na goli lao zuri.
Kazi tunayo, watu inabidi wajaribu madongo ya mbali pia, na tukumbuke golini yuko Given
salaam kwa jina la wengeWenger should Go!!
Hii aibu nyumbani!!
hahahaaaaaaaaaaaaaa, like peeing on your pants???
...actually, am getting a weird pleasure na KIPONDO cha leo,...dahhh?
Ngoma ishalala hiyo kaka......Zama za Wenger zishaisha ati....tukipoteza hii match basi tena ...
Ngoma ishalala hiyo kaka......Zama za Wenger zishaisha ati....
Wenger should Go!!
Hii aibu nyumbani!!
...actually, am getting a weird pleasure na KIPONDO cha leo,...dahhh?
Lakini magoli hakuna..tuna poses mpira ... saaana
tunaweza tukarudi kaka ... hawajashinda villa wanaongoza ...