Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,701
- 13,671
nasikia aw atatoa pound 18 mil kwa ajili ya demba ba
tamani tamani.
nasikia aw atatoa pound 18 mil kwa ajili ya demba ba
Wachezaji kama Djorou,Arshavin,Ramsey,Walcot,Chamakh hawastahili kuchezea Arsenal,Cahili ni bora kuliko huyo Merteseker
Lini ulikuwa manager wa timu wewe? Phew! some people sound like . .. .... .... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeee
habari za masiku mengi mkuu wacha1
huyu AW Inabidi aondoke maana uchumi wake unatuumiza vichwa kila wikiendi,juzi nilijaribu kupata viloba ila vikakata kwa mauzi mengi uwanjani
Hana ubavu huo,ameshindwa kumsajili Garry Cahili kwa pound 7 mil
Wachezaji kama Djorou,Arshavin,Ramsey,Walcot,Chamakh hawastahili kuchezea Arsenal,Cahili ni bora kuliko huyo Merteseker
Kwa lipi hasa? Hebu weka stats hapa!
Waulize kina Balantanda,AW ,kama unaangalia mechi za Arsenal hili liko wazi.Tutaongea zaidi baada ya mechi Jumapili
Natumaini mko poa gooners. Timu nakua kama siielewi elewi!
Kwa kweli ubingwa tusahau, nafasi ya nne itakua mbinde ila inawezekana sana.
Tumekua hivi siku hizi!
Lakini ndio timu yetu na AW wetu, hatuna cha kufanya! Its very frustrating indeed....
Poleni sana naona mko kwenye civil war.
Acha uoga..Kesho nitaangalia game moja tu...Man City Vs Totenham, baada ya hapo nazima simu zote!
Mtanipa matokeo ya Arsenl Vs Man Utd Jtatu nikiwa ofcni
Siyo uoga Katavi..what do u expect kesho?Acha uoga..
Siyo uoga Katavi..what do u expect kesho?
Kesho nitaangalia game moja tu...Man City Vs Totenham, baada ya hapo nazima simu zote!
Mtanipa matokeo ya Arsenl Vs Man Utd Jtatu nikiwa ofcni