Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

They need another good striker soon if they want to keep their title hopes alive. RVP is known to be injury prone so sio wa kutegemewa kucheza game zote mpaka May
 
Foul ya kijinga ya Johan Djourou imetugharimu leo..............

Yametimia

Mpira umeisha

Fulham 2-1 Arsenal.........

Poleni Gunners wenzangu......Usiku mwema

Arsenal: Together We Stand...............In Arsene I Trust



Goli la mwisho linauma sana, kama la Man Shitty jana.
 
Wewe wacha, game ilikuwa imekaa hovyo mno leo, anyway, sidhani kama gooners mtapiga kelele za "new signings"?!

Ilikaa vibaya toka mwanzo, sishangai.

Tujikusanye tuuendelee na safari ya kuwa wanne sasa!

I am so f*****g dissaponited!
 
They need another good striker soon if they want to keep their title hopes alive. RVP is known to be injury prone so sio wa kutegemewa kucheza game zote mpaka May

sio striker tu,anahitajika kiungo mshambuliaji wa ukweli pia,mtu wa kuweza kumsaidia rvp ipasavyo sio ramsey,huyu mzee atachanganyikiwa!
 
Haruwezi kucheza EPL namna hii kila mechi inasaidiwa na uamuzi mbovu wa marefaree, we definitely need technology.




.....na VILIO vikaendelea kusikika kutoka kwa MZEE WA KULIALIA, wenzake wote wamekubali kuzidiwa lakini yeye kama kawaida lazima alie ka MBUZI JIKE LIKIWA KWENYE JOTO, sore loser!....hahahahahaha!! Game on!
 
Foul ya kijinga ya Johan Djourou imetugharimu leo..............

Yametimia

Mpira umeisha

Fulham 2-1 Arsenal.........

Poleni Gunners wenzangu......Usiku mwema

Arsenal: Together We Stand...............In Arsene I Trust

asante mkuu
nawe pole
usiku mwema
 
...Almunia arudi golini sasa...kipa keshaanza jisahau huyu nae sasa...

Dogo bado mkali mkuu, bahati mbaya hile. Alifanya maamuzi mabaya mpira ulikuwa wa kuupiga ngumi ule.

Tatizo letu mbele tunashindwa kutumia nafasi , tunataka kutembea na mpira mpaka ndani ya nyavu wakati mashuti yanasaidia sana kwenye mechi kama hizi.
 
Poleni sana wakuu ndio mechi hizo zilivyo maana leo katikati mlikuwa hamna kitu kabisa maana mlikuwa mnacheza ovyo sana plus Song alikuwa out of form na Van Perse asipofunga basi hamna mfungaji mwingine,poleni ila bado mechi nyingi sana
 
Wacha1 tuleteee mapicha tafadhari sana tunakuomba hahahahah
 
Wewe wacha, game ilikuwa imekaa hovyo mno leo, anyway, sidhani kama gooners mtapiga kelele za "new signings"?!

Ilikaa vibaya toka mwanzo, sishangai.

Tujikusanye tuuendelee na safari ya kuwa wanne sasa!

I am so f*****g dissaponited!



It's nice to admit when you're shitty!
 
Goli la mwisho linauma sana, kama la Man Shitty jana.
Kwangu mimi halijaniuma jirani maana(kama umefuatilia post zangu) nilijua ni lazima tutafungwa hata kabla Djourou hajatolewa kwa red card...Timu yetu leo haikucheza mchezo wa ushindi,tulikuwa tunaruhusu mashambulizi sana na Bobby Zamora alikuwa tishio sana kwetu pamoja na somebody Louis.....Kwa hakika leo tunastahili kushindwa,hatuna sababu......Refa,alikuwa fair kabisa,ni uzembe wetu katika idara zote,ulinzi,kiungo na forward(Walcott na Gervinho hhhawakuwa na mchango wowotw kwa timu)......

So tulistahili kushindwa,goli la Sunderland kwa Man City linauma sana maana wao Man City walikuwa kamili,walistahili kushinda kwa kila hali.....
 
Back
Top Bottom