Msarendo
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 10,888
- 7,079
Kipindi cha pili aliamua kupark bus golini....hahahahaha..losers!
from 3 points to 0.. Acha tu!
Kipindi cha pili aliamua kupark bus golini....hahahahaha..losers!
Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kumbe ujanja wako wote ulikuwa unaparamia mbuzi jike! pole sana jaribu tena …. …. Ati wenzako wote, wote na nani? Wewe tunakufahamu mzee wa chuki binafsi khe khe khekheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee timu yako inakufa kifo cha mende khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee naona tunakunyima sana usingizi.
Huwa hainiumu ku-lose kwa sababu ya brown envelopes, wewe unachekelea kwa sababu mmebebwa leo na mfungaji ambaye alikuwa ale red card fairly. Wacha technology ije ndio mtajua zipi ni mbivu.
Kwangu mimi halijaniuma jirani maana(kama umefuatilia post zangu) nilijua ni lazima tutafungwa hata kabla Djourou hajatolewa kwa red card...Timu yetu leo haikucheza mchezo wa ushindi,tulikuwa tunaruhusu mashambulizi sana na Bobby Zamora alikuwa tishio sana kwetu pamoja na somebody Louis.....Kwa hakika leo tunastahili kushindwa,hatuna sababu......Refa,alikuwa fair kabisa,ni uzembe wetu katika idara zote,ulinzi,kiungo na forward(Walcott na Gervinho hhhawakuwa na mchango wowotw kwa timu)......
So tulistahili kushindwa,goli la Sunderland kwa Man City linauma sana maana wao Man City walikuwa kamili,walistahili kushinda kwa kila hali.....
Nipo naona mkijitahidi kunusa top 4 mnashushwa chini.Kwa hivi vipigo nafikiri makocha wa timu kubwa wanaombea ligi iwe inasimama kipindi cha Dec-JanDe Gea umeibuka leo?
Heri ya mwaka mpya.
Wacha kulialia hii ni 2012Huwa hainiumu ku-lose kwa sababu ya brown envelopes, wewe unachekelea kwa sababu mmebebwa leo na mfungaji ambaye alikuwa ale red card fairly. Wacha technology ije ndio mtajua zipi ni mbivu.
Poleni mabingwa watarajiwa, hapa ndipo muone kuwa hamna timu ya kuchukua ubingwa msimu huu. Hizi ndio zilikuwa mechi za kuziba gap wakati walio juu wakichemsha wewe ndio ulitakiwa ufanye kweli. Ndio EPL hiyo!!!!!!!.Nakubali tumefungwa tugange yajayo ila ninyi man shit,the blah blahs and totenham sippers wala msiongee kabisa,hapa hofu yangu ni Man united tu.
Dogo bado mkali mkuu, bahati mbaya hile. Alifanya maamuzi mabaya mpira ulikuwa wa kuupiga ngumi ule.
Tatizo letu mbele tunashindwa kutumia nafasi , tunataka kutembea na mpira mpaka ndani ya nyavu wakati mashuti yanasaidia sana kwenye mechi kama hizi.
Mkuu yaani mechi moja tu unaiweka katika wingi?Back to losing ways GOONERS.
acha tu mkuu, nilikuwa najua leo tunapunguza gap hadi point 6, kwani najua kesho City kwa liver hatatoka.. We've wasted a golden chance Today.
Spot on.Too many average players............Back to losing ways GOONERS.
Wapi mzee wa kekeke keeee.