Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Fulham-v-Arsenal-Clint-Dempsey-v-Johan-Djouro_2697652.jpg


kwikwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Pamoja sana jirani......Wewe ni mwanamichezo wa kweli kabisa, I wish kungekuwa na JF Sportsman/woman of the year......Kura yangu ingeangukia kwako jirani


Thanks for the compliments mkuu wangu. Tuko pamoja, ingawa sometimes tunateleza tunapotuma rivalry messsage!
 
Thanks chief!
Pole na kisago! Naona mmeanza mwaka kwa kuangalia "chini". hahahahahhahaa!!

...Nilikuwa naiangalia mechi na jinsi tulivyokuwa tunashambuliwa nikajua tu kama wakisawazisha basi wanaweza kutupiga la pili, wasiwasi wangu ukawa kweli. Nilishazihesabu points tatu kibindoni.
 
Wewe wacha, game ilikuwa imekaahovyo mno leo, anyway, sidhani kama gooners mtapiga kelele za "newsignings"?!

Ilikaa vibaya toka mwanzo, sishangai.

Tujikusanye tuuendelee na safari ya kuwa wanne sasa!

I am so f*****g dissaponited!
Mkuu wewe kama mkweli niambie kwa nini Gervinho alipoangushwa hakupewa penalty? Na hii sio mara ya kwanza kila mechi tuliyocheza kuanzia Mancs, last week na mechi ya leo. Sasa kama unakataa ile ya Gervinho iwaje ukubali second yellow ya Djorou?
 
.....na VILIO vikaendeleakusikika kutoka kwa MZEE WA KULIALIA, wenzake wote wamekubali kuzidiwa lakiniyeye kama kawaida lazima alie ka MBUZI JIKE LIKIWA KWENYE JOTO, soreloser!....hahahahahaha!! Game on!


Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kumbe ujanja wako wote ulikuwa unaparamia mbuzi jike! pole sana jaribu tena …. …. Ati wenzako wote, wote na nani? Wewe tunakufahamu mzee wa chuki binafsi khe khe khekheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee timu yako inakufa kifo cha mende khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee naona tunakunyima sana usingizi.
 

Wacha1 yupo icu

You know those who're still there? Don't you? Nashangaa ati unarudi hapa na kifua mbele wakati unafahamu kabisa kwamba rupia ilitembea sana leo kutoka kwa kila timu ili tupoteza hii mechi, wenzio ndio utajiri wao lakini hawapati kitu mwaka huu ndio mwisho techno;ogy inakuja .... ... ....

 
Wenger Amejitakia Mwenyewe kipigo cha leo. First half tulitumia 4-3-3 tukawakamata fulham fresh.. 2nd half akaja na 4-5-1 akaua mashambulizi.. Alipo mtoa Gervinho ndo akaua kila kitu.
 
Pia kwanini Oxlade chemberlain anambania Walcott anacheza upupu tu au ndo anamtafutia namba ya euro!
 
AW anajitakia mwenyewe. Amenunua wachezaji kuja kuwatoa kwa mkopo na kukaa benchi? Ni wakati wakumchezesha Park na Chamberlain wako vizuri. AOC mechi zote alizocheza kila kona anasifiwa WHY bench!!
 
Wenger Amejitakia Mwenyewe kipigo cha leo. First half tulitumia 4-3-3 tukawakamata fulham fresh.. 2nd half akaja na 4-5-1 akaua mashambulizi.. Alipo mtoa Gervinho ndo akaua kila kitu.



Kipindi cha pili aliamua kupark bus golini....hahahahaha..losers!
 
Back
Top Bottom