Bado mjakutana na Chelsea mtaita maji mmaHii mechi inachezwa hovyo
Low block inayopigwa hapa inahitaji watu wanaoingia ndani ya boksi siyo pasi
Bado mjakutana na Chelsea mtaita maji mmaHii mechi inachezwa hovyo
Low block inayopigwa hapa inahitaji watu wanaoingia ndani ya boksi siyo pasi
Alafu hapo hajakutana na Brentford wazee wa kazi, Nottingham forest, Everton achilia zile timu kubwaKanipa mashaka tayari, ila nimeona dalili mbaya
Hiki kitu nimewahi kuzungumza kwenye jukwaa hili lenu mnawachezaji wengi wa kawaida ambao ukiwatoa Rice, Raya labda na Saliba ambapo wakienda Chelsea au Man City wanakula benchi ila Sasa Castr anavyowapaisha Hana tofauti na mashabiki wa manyumbu utofauti uko wapi ni kwasababu ya mfumo wa Arteta unafanya wanaonekana wapo kwasababu ya ile team work.Havertz, saka msimamo wangu ni ule ule. .... kapunguzwa martinelli..
Hawa ni matapeli.
Huyu kai anachofanya ni utumbo
Umeacha statistics uchwara umeamua tuongee mpira?Bado mjakutana na Chelsea mtaita maji mma
Nyie ndio mna matumaini hewa msimu huu hamtoboiMashabiki wa Chelnyeto wanamatumai hewa mwaka huu.
Mbaga Jr meno yote 32 kisa ushindi wa kimagumashi.
Nyambafu!
Msimu huu Aston villa wabovu kumbuka wamepigwa 4 bila na Brighton wameuza wachezaji wao boraKwenye hii mechi Aston villa hawana shot on target ingawa Arsenal tumecheza hovyo sana.
Hii sasa ndiyo hiyo fear factor
Hata mwaka jana mlisema hivyo hivyo.Nyie ndio mna matumaini hewa msimu huu hamtoboi
Mfumo wa Arteta.Hiki kitu nimewahi kuzungumza kwenye jukwaa hili lenu mnawachezaji wengi wa kawaida ambao ukiwatoa Rice, Raya labda na Saliba ambapo wakienda Chelsea au Man City wanakula benchi ila Sasa Castr anavyowapaisha Hana tofauti na mashabiki wa manyumbu utofauti uko wapi ni kwasababu ya mfumo wa Arteta unafanya wanaonekana wapo kwasababu ya ile team work.
Tangu Emery aende Villa wamekua wanacheza jihad wakikutana na sisi.Msimu huu Aston villa wabovu kumbuka wamepigwa 4 bila na Brighton wameuza wachezaji wao bora
Niliwaambia humu jukwaani lenu wakati mnataka kumsajili Gyrokerez nikasema huu ni Usajili wa mihemko usiozingatia matakwa ya mfumo wenu wa uchezaji, Victor Gyrokerez ni bonge la mchezaji na analijua goal lakini hafit mfumo wa Arteta, Mfumo wa Arteta hatuhitaji target Man kama Gyrokerez unahitaji mshambuliaji anayenyumbulika akai kwenye eneo moja mara nyingi ili kutoa space kwa wachezaji wengine wapembeni kuingia ndani ndio maana anampenda sana Kai Swali nilikuwa najiuliza ilikuwaje Arteta akamsajili wakati unajua hafit mfumo wako wa uchezaji?Binafsi huwa nikisema Bukayo Saka,Kai Hatvetz ,Noni Madueke hapaswi kucheza Arsenal nabaki kushambuliwa!
Haiwezekani unamuuza mchezaji kama Gabriel Martinel unamuacha Madueke!
Tatizo la leo la Arsenal lilikuwa ni striking force tu baaasi!
Kuanzia kwa Mabeki hadi viungo tulikuwa sawa,Tatizo ni mawinga wa pembeni bado wanacheza kizamani sana,Kama hawa ndiyo tunategemea watuvushe kwenye Champions League msimuu huu,Basi tuandike maumivu!
Sijajua sababu ya Arteta kumuweka benchi Gyokeres ni zipi,Kuna muda hadi watangazaji walikuwa wanashangaa kwanini Kai Hatvetz anacheza wakati Gyokeres amekalia mbao ndefu!
Takwimu ni sehemu ya mpira nawaonea huruma sana kwa kweli mnaenda kukutana na ile front three alafu wanakasi wale halafu hawana utani na goalUmeacha statistics uchwara umeamua tuongee mpira?
Siyo mbali, ni Jumapili.
Dah nimecheka mpaka nimepaliwa 🤣Gyokeres ni Dumbia aliye changamka then hapo kwenye Saka unazingua mkuu
Hata sisi Fulham walicheza jihad na wakala 3 takatifu na Fulham ina watu haswa huwezi kufananisha na Aston villa kucheza jihad ni jambo moja kuwa na watu wenye quality ya kucheza hivyo ni jambo lingineTangu Emery aende Villa wamekua wanacheza jihad wakikutana na sisi.
Kwani hizo nne walizopigwa na Brighton walipaki basi? Unadhani nyinyi mtajiachia mkikutana na Arsenal?
Msimu uliopita tulikuwa na changamoto nyingi ndio maana hatukuwa na hayo matarajio Sanchez alitukosesha amani kwa kugawa point kwa wapinzani, wachezaji wetu Bora Cole Palmer na Colwil walivyoumia ndio msimu wetu uliishia hapo safari hii kila idara imetimia hata Palmer akiumia tuna Rogers balaa ni lile lile, Tuna Kipa mwenye ubora tunachokifanya Sasa kutafuta balance nzuri kwenye safu ya beki maana tuna mabeki wazuri individually.Hata mwaka jana mlisema hivyo hivyo.
Bado mnaruhusu magoli mengi, ngoja tuone hadi mechi ya tano ndipo tuzungumzie vizuri. Kwa sasa dalili zote zinaonesha kuwa timu yenu inafungika kirahisi sana.Msimu uliopita tulikuwa na changamoto nyingi ndio maana hatukuwa na hayo matarajio Sanchez alitukosesha amani kwa kugawa point kwa wapinzani, wachezaji wetu Bora Cole Palmer na Colwil walivyoumia ndio msimu wetu uliishia hapo safari hii kila idara imetimia hata Palmer akiumia tuna Rogers balaa ni lile lile, Tuna Kipa mwenye ubora tunachokifanya Sasa kutafuta balance nzuri kwenye safu ya beki maana tuna mabeki wazuri individually.
Mimi Sina ushabiki wa kijinga kwenye ukweli nasema sijawahi kusema Arteta mbaya labda mashabiki wa manyumbu Arteta ni bonge la kocha hii team yenu angekuwa kocha wenu ni Enzo Maresca mngekuwa mnatafuta nafasi ya kugombea ligi ndogo ya mabingwa( Europa league) hata angekuwa ni Guardiola msingechukua ligi.Mfumo wa Arteta.
So leo unakubali kwamba Arteta ni kocha mzuri kiwango cha dunia?
Timu inayotaka matokeo ikipigwa low block lazima istruggle. Nyinyi pia hiyo Jumapili mkicheza low block mtatusumbua ila kufungwa ni palepale
Ndio maana Alonso akasema kuanzia December tutakuwa hatushikiki kwa maana hiyo anatafuta namna nzuri itakayofanya defensively tuwe Bora ila kule mbele tupo moto na huko ndipo panatupa matokeoBado mnaruhusu magoli mengi, ngoja tuone hadi mechi ya tano ndipo tuzungumzie vizuri. Kwa sasa dalili zote zinaonesha kuwa timu yenu inafungika kirahisi sana.
Ni kweli, lakini huku mwanzoni msipojikaza ndo manatuachia ubingwa mapema sana.Ndio maana Alonso akasema kuanzia December tutakuwa hatushikiki kwa maana hiyo anatafuta namna nzuri itakayofanya defensively tuwe Bora ila kule mbele tupo moto na huko ndipo panatupa matokeo