Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

sababu za victor gyokeres kutocheza ni kwamba jamaa alivyoona barcelona hakuna striker akajiofa mwenyewe
arteta alipojua akafanya kama anavyofanya
hatutaki mtu anayecheza arsenal huku mawazo yapo barcelona hiyo era imekwisha
ndio maana alikuwa anapush dili la alvarez japo alvarez ndiye alikataa

arteta anatuma meseji kwenye dressing room kwamba yeye ndio boss unaweza ukajiona ni mchezaji mzuri na ukakaa benchi hana muda wa kubebembeleza

arsenal sio option ni priority
Hii possibility inawezekana, nakumbuka saga la lacazete nae alijichanganya hivi hivii alikula bench hadi akili ikamkaa sawa
 
Kuna mjinga mmoja wa hii timu atabisha.

Screenshot_20260903_035602_Threads.jpg
 
Zamani alikuepo jamaa anaitwa Agbonlahor, siku hizi amekua mchambuzi.

Alisema kwenye mechi tano za mwanzo za Arsenal tutapata points 5 tu.

Mechi ya 2 na tayari Arsenal tuna points 6.

Ujinga ni kwamba wakina Agbonlahor wengine tunao humu
kiufupi ni mchekeshaji
inabidi uiongelee arsenal myda huu iwe kwa ubaya au uzuri ili upate airtime
 
IMG-20260903-WA0003.jpg


🚨 Arsenal’s decision to leave Viktor Gyökeres out of their last two games may have been part of a bigger plan.

Reports suggest the club wanted to keep the No.9 shirt available for Gyökeres while they worked to facilitate Gabriel Jesus’ departure.

The idea was reportedly to avoid Gyökeres appearing in a Premier League match wearing No.14, which could have meant keeping that number for the rest of the season.

With Jesus now completing his move to Barcelona, the decision suddenly makes a lot more sense.

Sometimes the work happening behind the scenes tells a completely different story. 👀

Did Arsenal get this one right? Now you know.🙌👋

#Arsenal #AFC #ViktorGyokeres #GabrielJesus #PremierLeague #Gunners #COYG
 
View attachment 3662422

🚨 Arsenal’s decision to leave Viktor Gyökeres out of their last two games may have been part of a bigger plan.

Reports suggest the club wanted to keep the No.9 shirt available for Gyökeres while they worked to facilitate Gabriel Jesus’ departure.

The idea was reportedly to avoid Gyökeres appearing in a Premier League match wearing No.14, which could have meant keeping that number for the rest of the season.

With Jesus now completing his move to Barcelona, the decision suddenly makes a lot more sense.

Sometimes the work happening behind the scenes tells a completely different story. 👀

Did Arsenal get this one right? Now you know.🙌👋

#Arsenal #AFC #ViktorGyokeres #GabrielJesus #PremierLeague #Gunners #COYG
Drama za Gyökeres
 
View attachment 3662561

Ukiwakuta sasa wanavyomzungumzia huyo Caicedo ndio utagundua hii timu washabiki zake hawapo timamu muda mwingine
Nyie jiongelesheni tu na kujijibu wenyewe, badala ya kutafuta namna ya kuizuia ile Front three ya chelsea msije mkadhalilika.

Kwa hiyo akili zako ndio zimekutuma Caseido anachezaga peke yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom