Hiyo ni kwasababu ya midfielder sio Defence hili nimewahi kulisema Chelsea haina midfielder anaeweza kunusa hatari kama Caicedo kitu ambacho kimeshindwa kufanywa na Lavia na JamesDefence sio mbovu lakini bado haipo sawa, wanapitika kirahisi. Halafu ukiwapgia mipira mirefu kuzuia kwa tabu sana.