Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Defence sio mbovu lakini bado haipo sawa, wanapitika kirahisi. Halafu ukiwapgia mipira mirefu kuzuia kwa tabu sana.
Hiyo ni kwasababu ya midfielder sio Defence hili nimewahi kulisema Chelsea haina midfielder anaeweza kunusa hatari kama Caicedo kitu ambacho kimeshindwa kufanywa na Lavia na James
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom