Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Juzi nilikuja nasema nimesoma online kwamba Rajabu bila hilo goli alikua mzururaji. Mimi sikuangalia mechi. Hziyech22 akasema namba zake kwakua anaanza siyo mbaya.

Namba zake zilikua haziachani na goal scorer wa Fulham, Joshua King, jana yamejirudia.

Baada ya mechi 6 tujiandae kuona matusi
 
Mkohoti

James Garner

Huyo pimbi mnaye hadi 2033. Huu upuuzi wake wa kujifunga, red za kipimbi na kuumwa kuhara mtadeal nao kwa miaka 7
Umetoa maoni yako kwa ushabiki Caicedo ni best defensive midfielder in the world huwezi kumjudge kwa hiyo mechi moja ukitoa hiyo red card, red ipi nyingine kapata kwenye huo msimu??hata Leo tukisema tumuweke sokoni hatukosi chini ya pound 150m+ vilabu vyote vikubwa vitamuwania
 
Juzi nilikuja nasema nimesoma online kwamba Rajabu bila hilo goli alikua mzururaji. Mimi sikuangalia mechi. Hziyech22 akasema namba zake kwakua anaanza siyo mbaya.

Namba zake zilikua haziachani na goal scorer wa Fulham, Joshua King, jana yamejirudia.

Baada ya mechi 6 tujiandae kuona matusi
Moja kati ya signing bora tuliofanya ni kumsajili huyo dogo Morgan ili ujue ubora wake kaangalie mechi usije ukalishwa matango poli Jamaa anajua muda upi aingie kwenye box na muda upi awe provider wa team hiyo mechi ya Fulham kaweka record ya kuwa mchezaji aliyetengeneza nafasi nyingi za goal na sio tu anatengeneza nafasi anatengeneza nafasi kiufundi pia anaisaidia team kwenye ukabali kitu ambacho ujui ni kwamba Morgan Rogers tumeanza kumfuatilia misimu miwili iliyopita kila dirisha lazima tuhusishwe nae sio kwasababu nyinyi mlimtakani ni kwasababu ana uwezo wakucheza nafasi tatu tofauti LW, AM na RW kama Palmer akiumia Rogers ndio atakuwa no 10 na mateso yataendelea kama kawa kwasababu anajua kutengeneza nafasi na kufunga magoal kitu ambacho kilitukwamisha msimu uliopita ingawa Enzo alijitahidi kuziba nafasi ya Palmer lakini sio mchezaji wakutengeneza nafasi nyingi mchezoni kama alivyokuwa anafanya Palmer
 
Kwahiyo ulitaka Uwanjani acheze yeye tu Caicedo against 11 players from opponent???
Soma hilo caption kubababake kama muvi la kutisha linaanza.

Hivi vitu huyo pimbi hawezi na hapo angekula red nne

images (1).jpeg
 
Umetoa maoni yako kwa ushabiki Caicedo ni best defensive midfielder in the world huwezi kumjudge kwa hiyo mechi moja ukitoa hiyo red card, red ipi nyingine kapata kwenye huo msimu??hata Leo tukisema tumuweke sokoni hatukosi chini ya pound 150m+ vilabu vyote vikubwa vitamuwania
Labda siyo vilabu vya mpira kuna vingine umemaanisha.

Kwani Caicedo kupata red ni mara yake ya kwanza? Mi nimesahau hapa tunazungumzia msimu upi
 
Moja kati ya signing bora tuliofanya ni kumsajili huyo dogo Morgan ili ujue ubora wake kaangalie mechi usije ukalishwa matango poli Jamaa anajua muda upi aingie kwenye box na muda upi awe provider wa team hiyo mechi ya Fulham kaweka record ya kuwa mchezaji aliyetengeneza nafasi nyingi za goal na sio tu anatengeneza nafasi anatengeneza nafasi kiufundi pia anaisaidia team kwenye ukabali kitu ambacho ujui ni kwamba Morgan Rogers tumeanza kumfuatilia misimu miwili iliyopita kila dirisha lazima tuhusishwe nae sio kwasababu nyinyi mlimtakani ni kwasababu ana uwezo wakucheza nafasi tatu tofauti LW, AM na RW kama Palmer akiumia Rogers ndio atakuwa no 10 na mateso yataendelea kama kawa kwasababu anajua kutengeneza nafasi na kufunga magoal kitu ambacho kilitukwamisha msimu uliopita ingawa Enzo alijitahidi kuziba nafasi ya Palmer lakini sio mchezaji wakutengeneza nafasi nyingi mchezoni kama alivyokuwa anafanya Palmer
Duh yaani mmezoea mateso hadi unatamba mateso yataendelea
 
TBT miaka 15 iliyopita Wenger orphans tuliwafanya kitendo kibaya sana hawawezi kusaau maisha yao yote

Tulipiga kama ngoma
 

Attachments

  • 1787915681779.jpg
    1787915681779.jpg
    318.1 KB · Views: 1

Similar Discussions

Back
Top Bottom