Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Guimaraes anachukua nafasi ya Noorgard ambaye amejiunga na Everton, Uwanjani Guimaraes anaweza kutumika km box to box that's means he is rotating with Declan rice lakini pia anaingia direct kwenye nafasi ya Defensive midfielder kwa lengo la Ku improve required standard, Zubimendi hapa kazi anayo
Nyie ombeni team zingine zisiwe kwenye ubora ili kusiwepo msesereko
 
To be honest, bila dogo lewis skelly kuingilia kati, zubimendi kidogo atupotezee ubingwa msimu uliopita, jamaa sijui alikuja kuwaje kuwaje, yani akicheza dakika 10 tu unaona game inaanza kumshinda, akawa tofauti kabisa na standard za wenzake, bado naamini ana kitu mguuni ila ni vizuri kuona Arteta aliliona tatizo na kalitafutia soln.
 
Nyie ombeni team zingine zisiwe kwenye ubora ili kusiwepo msesereko
We kwetu waga ni mserereko hata usajili nani, kiufupi ligi ishakua ya kwetu sio kwasababu timu nyingi ni dhaifu ila kiukweli we have built a dynasty km asemavyo Arteta, midfield ya Guimaraes + Rice unafikiri mchezo nini, sisi tuna compete na PSG na Real Madrid tu, na Man city km pep angekuwepo
 
We kwetu waga ni mserereko hata usajili nani, kiufupi ligi ishakua ya kwetu sio kwasababu timu nyingi ni dhaifu ila kiukweli we have built a dynasty km asemavyo Arteta, midfield ya Guimaraes + Rice unafikiri mchezo nini, sisi tuna compete na PSG na Real Madrid tu, na Man city km pep angekuwepo
Kufika fainal tena kwa kitonga mshajiona mnaweza kucompete na Madrid, PSG hauko serious.
 
Nmefurahia mmemukosa vini

Msimu ujao united ubingwa tunautaka sana na nyie ndio kikwazo tu hakuna mwingine wa kumzuia carrick
United bdo tunatafuta back up striker na midfielder mmoja

TUTAUANA
Man Shipa Utd.
Naangalia game ya Emirates Cup kiukweli tuna deadwood 2 zinatakiwa tuziondoe AQAP maana zinatutpotezea muda tu na haziwezi kutusaidia chochote. Kepa na Havertz ni wachezaji wa kuwaondoa mapema sana.
Kwa kweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom