Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 38,233
- 76,758
Iko wazi.Camp ya Vini walifanya hivyo ili kupush deal na Madrid na hatimaye wamefanikiwa ila Vini hakuwa na mpango wa kujiunga na Arsenal
Angekua anataka kuja Arsenal angekua kaja hata kabla ndevu hazijamuota