Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,806
- 13,763
Ode!??!Basi Hali haitakua shwari kwa timu pinzani. Siombei hili jambo litokee
View attachment 3641313
Ode!??!Basi Hali haitakua shwari kwa timu pinzani. Siombei hili jambo litokee
View attachment 3641313
Basi Hali haitakua shwari kwa timu pinzani. Siombei hili jambo litokee
View attachment 3641313
Saka mtu sana.Saka ? Ode ? Victor? Overated !
Hamna mbavu za kumpata viniJr... atasaini kandarasi mpya huko Madrid!
Saka mtu sana.
Deal la Vin Jr kuna muda kama linakuja kuna muda kama linakataa ivi..Bruno [emoji736]
Vini [emoji352]
Ametupia moja leoTzolis sio mbaya japo ni mapema sana
Hii biashara ujuee.. Ngoja tuone hii weekVini na kambi yake wanataka kuifanya arsenal kama RAMOS kwa MAN U,
Ramos wanavujisha habari anaenda man u kuitishia madrid imwage mpunga mezani.
Vini ni mchezaji mzuri uwanjani, ila ana vitabia vya hovyo hovyo mnooo, hata ukiwa kwenye timu moja nae kuna muda utakereka
Sio mbappe ndo walimuharibia Alonso na kuchochea wachezaji wenzake wasioneshe uungwana ktka sherehe za fainali Copa de Rey na kumdharau kocha wao piaSasa timu imenunua Rodgers halafu iongeze na Vinicius wa nini?
Vinicius alisababisha Alonso afukuzwe Madrid unadhani Alonso ana hamu na Vinicius?
Tabia ya vinicius ya unnecessary attention ni ngumu yeye kwenda Arsenal na wewe umejudge kutokana na hilo. Haujajudge juu ya financial muscle ya kumlipa zaidi ya 400K per week
Kwa akili zenu timamu kbs mnaamini vin anaweza akaja kwenye kakundi kenu hako kavikoba.Leo nimekutana na shabiki la Manchester likiongea kwa uchungu sana kuhusu hizi tetese za Arsenal na Vini.
Limeapia kwa kulamba mchanga kwamba hatuna ubavu wa kumtoa Vini pale Bernabeu.
Hizi habari aisee zinawatesa sana washkaji [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]