Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

FB_IMG_1784371392893.jpg
 
Poleni sana mchezaji kachagua mabingwa wa dunia

Hoja yoyote nitayoandika hapa ni hoja niliandika wakati mnamchukua Mudryk, Zakaria, Santos na wengine. Arsenal ilionyesha interest kwa Rogers ikawa inataka kupeleka 50M, timu iliyotoka kuchukua ubingwa imeona Rogers ana thamani hiyo, timu iliyoshika nafasi ya kumi inatoa 117M.

Kubababake.
 
Hoja yoyote nitayoandika hapa ni hoja niliandika wakati mnamchukua Mudryk, Zakaria, Santos na wengine. Arsenal ilionyesha interest kwa Rogers ikawa inataka kupeleka 50M, timu iliyotoka kuchukua ubingwa imeona Rogers ana thamani hiyo, timu iliyoshika nafasi ya kumi inatoa 117M.

Kubababake.
Kwani wewe unachangia kiasi gani mpaka ikuume? Market ndio iko hivyo Anderson kasajiliwa na Man City na 112 ukiachana na hivyo kwani tulitoa kiasi gani kwa Enzo Fernandez na Caicedo na kelele zilikuwa nyingi mwisho wa siku mkakaa kimya.Lazima ujue kijana ukitaka kumpata mchezaji mzuri kubali kuingia gharama
 
Kwani wewe unachangia kiasi gani mpaka ikuume? Market ndio iko hivyo Anderson kasajiliwa na Man City na 112 ukiachana na hivyo kwani tulitoa kiasi gani kwa Enzo Fernandez na Caicedo na kelele zilikuwa nyingi mwisho wa siku mkakaa kimya.Lazima ujue kijana ukitaka kumpata mchezaji kubali kuingia gharama
Mimi sichangii sikujua kama inanizuia kutoa maoni.

Kwakua wewe unachangia uwanja ni wako endelea kutoa maoni.
 
Mimi sichangii sikujua kama inanizuia kutoa maoni.

Kwakua wewe unachangia uwanja ni wako endelea kutoa maoni.
Pesa utoi wewe kwanini ikuume mchezaji kusajiliwa kwa pound 117M? Ingekuwa mchezaji ni mbaya kwa kweli hata sisi tungepiga kelele lakini mchezaji ni mzuri kwanini niumie club yangu kutoa mpunga mrefu
 
Hoja yoyote nitayoandika hapa ni hoja niliandika wakati mnamchukua Mudryk, Zakaria, Santos na wengine. Arsenal ilionyesha interest kwa Rogers ikawa inataka kupeleka 50M, timu iliyotoka kuchukua ubingwa imeona Rogers ana thamani hiyo, timu iliyoshika nafasi ya kumi inatoa 117M.

Kubababake.
Kubali mpepigwa
Rodgers ni profile huwezi kuipata sehemu nyingine kirahisi rashi. Ni mashambuliajiw a soka la kisasa anayefit kwenye mifumo kama ya akina Xabi Alonso sio huyo expert wenu wa kona na kukumbatia wachezaji pinzani.
Ndani ya msimu mmoja tu Morgan Rodger hauziki hata ka mil 200
1784455155092.png
 
Morgan Rogers ana miaka 23 TU!
Ni nyota aliyethibitika kwenye Premier League, ana uzoefu mkubwa na kipaji cha hali ya juu, bado HAJAINGIA kwenye PRIME yake!
Yeye ni UNSTOPPABLE kabisa!
Kubalini tu mmepigwa
1784455197025.png
 
Xabi Alonois alishiriki kwenye mishemi ya siri ya kumsajili Morgan Rogas pamoja na Mmiliki maarufu kwa usajili wa akina Enzo na Caicedo, jemadari weti Behdad Eghbali ambao walienda sio kujadiliana kumsajili Morgan Rodgers bali ni kwenda kumteka.
Mmiliki mwenza wa Chelsea, Behdad Eghbali, alijadili mkataba huo moja kwa moja na mwenzake wa Aston Villa, Nassef Sawiris.
1784455636187.png
 
Kubali mpepigwa
Rodgers ni profile huwezi kuipata sehemu nyingine kirahisi rashi. Ni mashambuliajiw a soka la kisasa anayefit kwenye mifumo kama ya akina Xabi Alonso sio huyo expert wenu wa kona na kukumbatia wachezaji pinzani.
Ndani ya msimu mmoja tu Morgan Rodger hauziki hata ka mil 200
View attachment 3632545
Ngoja msimu uanze. Akiwa vizuri nitasema kweli tumekosa jembe, akiwa shit nitakuepo hapa
 
Hoja yoyote nitayoandika hapa ni hoja niliandika wakati mnamchukua Mudryk, Zakaria, Santos na wengine. Arsenal ilionyesha interest kwa Rogers ikawa inataka kupeleka 50M, timu iliyotoka kuchukua ubingwa imeona Rogers ana thamani hiyo, timu iliyoshika nafasi ya kumi inatoa 117M.

Kubababake.
Ila ww jamaa eti 50M vitu vingine tuache hujuaji wakati mlitaka kupeleka 100M hakuna mchezaji mzuri utampata kwa bei rahisi sasa mfano mzuri kwa Bruno kule bado ofa yenu ipo chini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom