Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,125
- 7,525
Ulitaka tu battle nini kwenye penalty shootout? Kiufupi mpira hujui, yaani hustahili kuchangia chochote humu, mnatia kinyaa na hizi comment zenu nyie laymenNajua unanipamba hahahaha.
Japo kiuhalisia Arsenal last season kilichotubeba ni uwezo wa Jova zaidi kuliko wa Arteta.
Ingawa hilo haliondoi ukweli kuwa bado na hayo mapungufu yetu lakini ndio tulikuwa bora kuliko timu yoyote pale Epl.
Final ya Uefa ndio ilikuja kuonesha uhalisia wa uwezo wa Arteta kwa upande wangu sioni kama tulikuwa na wachezaji dhaifu wasioweza kubattlle na Psg.
Hawa Psg ni mara ya 3 wanatufunga katika mechi muhimu za kuamua.Hii inaonesha ni kwa kiwango gani uwezo wa Arteta ulivyo chini.
Arteta kafungwa na Man city mechi ya final na ya ligi kipuuzi sana.Anapanga kikosi kipuuzi akiwa anakutana na city.
Odegaard katoka majeruhi anaenda kumuweka game na city