Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Jana huwezi kuamini nimeota Arsenal kuchukua UEFA Wazee, for the first time, ngoja tuone.

Na tukichukua hili we're going to win it back to back, I believe next season tutakuwa na finance ya kutosha kuziba Magap with the very best players
Hahahahaja ndoto kama ndoto
 
20260601_001842.jpg
 
Mwandishi wa BBC aliyekuwa anaripoti kwenye parade amesema hajawahi kuona parade kubwa na matata kama ya Arsenal popote na pale kwa mchezo wowote ule.

Kweli miaka 22 si mchezo.

Sasa tuombe Arsenal wafanye kuchukua makombe kiwe kitu cha kawaida ili shughuli za watu ziwe zinaendelea. Unaweza kuta sasa tumeshawapita Kenya kiuchumi kwa jinsi Nairobi ilivyosimama kwa siku kadhaa.
 
Masingeli anakwambia usitegemee kubeba kombe la maana kama Uefa kwa huu mpira wa papatu papatu wanaocheza Arsenyashi, yaani timu haipati matokeo mpaka wamzongezonge kipa wakipata kona.
Inshort Masingeli hapendezwi kabisa na hii Haram football aliyokuja nayo Tetea Kiwigi.
Masingeli anadai hata hii PL mmebeba kwa bahati tu kutokana na form mbovu ya big 5 team's msimu huu.
HIoDeQZbUAAIuIw.jpg
 
Masingeli anakwambia usitegemee kubeba kombe la maana kama Uefa kwa huu mpira wa papatu papatu wanaocheza Arsenyashi, yaani timu haipati matokeo mpaka wamzongezonge kipa wakipata kona.
Inshort Masingeli hapendezwi kabisa na hii Haram football aliyokuja nayo Tetea Kiwigi.
Masingeli anadai hata hii PL mmebeba kwa bahati tu kutokana na form mbovu ya big 5 team's msimu huu. View attachment 3599387
Uchambuzi wa masingeli umetoa wapi mkuu?
 
Back
Top Bottom