Bado unaendelea kuotaJana huwezi kuamini nimeota Arsenal kuchukua UEFA Wazee, for the first time, ngoja tuone.
Na tukichukua hili we're going to win it back to back, I believe next season tutakuwa na finance ya kutosha kuziba Magap with the very best players
Hahahahaja ndoto kama ndotoJana huwezi kuamini nimeota Arsenal kuchukua UEFA Wazee, for the first time, ngoja tuone.
Na tukichukua hili we're going to win it back to back, I believe next season tutakuwa na finance ya kutosha kuziba Magap with the very best players
Daah sisi wajinga sana sometimes. Baada ya goli la Havertz tulitakiwa tufanye hivi mechi nzima.View attachment 3598668
Wenetu hao.


Masingeli anakwambia usitegemee kubeba kombe la maana kama Uefa kwa huu mpira wa papatu papatu wanaocheza Arsenyashi, yaani timu haipati matokeo mpaka wamzongezonge kipa wakipata kona.
Uchambuzi wa masingeli umetoa wapi mkuu?Masingeli anakwambia usitegemee kubeba kombe la maana kama Uefa kwa huu mpira wa papatu papatu wanaocheza Arsenyashi, yaani timu haipati matokeo mpaka wamzongezonge kipa wakipata kona.
Inshort Masingeli hapendezwi kabisa na hii Haram football aliyokuja nayo Tetea Kiwigi.
Masingeli anadai hata hii PL mmebeba kwa bahati tu kutokana na form mbovu ya big 5 team's msimu huu. View attachment 3599387
Mkuu HENRY14 ukute hiyo 350% kwa idadi ni pieces 200 tu!
Arsenal kwa sasa mna mbwembwe sana nyie watu
Nadhani polisi wangeweka doria kwa ajili ya usalama wa raia wasio Gunners mkuu.Aah wapi. Hapo tumepata mshiko wa kutosha kumchukua Kvaratskhelia ššš.
Yaani tusingezingua jumamosi tukabeba kombe, hata sitaki kufikiria dunia ingekuwaje aisee.