In case mmeanza kujisahau!"
Timu zenye UCL pale EPL ni;
Villa
N.forest
City
Utd
Chelsea
Liverpool
Wengine ni wasindikiza upepo tu !'""""kataa matapeli
Nyie si ajabu timu zenu hazina hata matumaini ya kuchukua kikombe chochote msimu ujao mmebaki kujifariji na psg. Mtaendelea kuwa wasindikizaji na kushabikia timu pinzani tutazoface ili kujifariji na ukame wenu wa makombe makubwa.Akapita akaenda zake. View attachment 3604089
Sisi ni Moja ya timu bora na nzuri barani ulaya(take it or leave it)
Tumekuwa mabingwa Epl and almost won champions league(not for everyone)
Kimsingi tunahitaji maboresho ya wachezaji kadhaa ikiwemo
-left wing
-mid
-Rightback
Ila kuna kitu kimetunyima ushindi kwenye mechi kubwa na za kimaamuzi.
Sio quality ila ni which kind of quality.mid yetu Ina quality ya kutosha eg rice,ode,eze,merino,Kai and lewis.
Ila kama umeitazama arsenal kwa MSIMU mzima ni kama tuna energy,quantity,quality,desire to win a match ila kuna certain kind of quality tunakosa.
We are not comfortable with the ball hasa kwenye mid.ukitazama mpira kwa sura ya structure and pattern of play huwezi ona hili tatizo.
Ukizungumzia different approaches for different games huwezi ona hii shida.
It's like we are compact(yes we are)ila in a very proactive approach(defensively).
Hatuko compact offensively ila tuko compact defensively.
Shida sio MIDFIELD ila ni what kind of midfield.we lack some one or something in MID.
-Mtu ambaye sio tu anakupa energy ila pia anaset temple ya game hasa kunapokuwa na pressure kubwa.
-mtu ambaye anaweza Fanya kitu nje ya structure na patterns.
-Mtu ambaye ni baller and driver at the sametime.
-wachezaji tulionao ni kama wamekuwa "addicted" na mfumo.
-anahitajika mtu ambaye mpira ukimfikia,wings na striker wanasogea mbele bila hofu ya mpira kupotea no matter type of pressing they are facing.
-such a person in our team is not supposed to be the engine with best horsepower but a "pure brain" or a "chip"
Anyway kwa mpira wa sasa ni kazi sana kupata watu wa aina hii,ila hiyo ni task ya scouting team.
Tunahangaika mnooo tukikutana na team ambazo ni pressing machine na Zina middles ambao ni purely "gifted"
Kawasilishe malalamiko yako bodi au tafuta timu nyingine ya kushabikiaJesus,Trossard,Martinell,Odegaard hawa ni miongoni mwa wachezaji ambao hawastahili kubaki klabuni kama kweli tunahitaji EPL.
Ode huyu ndio anaongoza kuikwamisha timu kila akiwepo yeye Arsenal ndio inakuwa butu zaidi katika kushambulia.
Martinel kagoma kukua kiuwezo ni hasara sana hii,Trossard kazi na umri.
Jesus ni mfanyakazi hewa.
La muhimu zaidi Arteta ana uwezo mdogo sana wakimbinu.
Wale Psg sio wakutuchezea mpira ule tena final ni dharau kubwa ile.
Kocha ana kariri madesa.
Bodi ya tumbaku au ya nyama.Kawasilishe malalamiko yako bodi au tafuta timu nyingine ya kushabikia
[emoji106] Mbege10 wewe ni shabiki pekee humu wa Arsenal anaejielewa.Jesus,Trossard,Martinell,Odegaard hawa ni miongoni mwa wachezaji ambao hawastahili kubaki klabuni kama kweli tunahitaji EPL.
Ode huyu ndio anaongoza kuikwamisha timu kila akiwepo yeye Arsenal ndio inakuwa butu zaidi katika kushambulia.
Martinel kagoma kukua kiuwezo ni hasara sana hii,Trossard kazi na umri.
Jesus ni mfanyakazi hewa.
La muhimu zaidi Arteta ana uwezo mdogo sana wakimbinu.
Wale Psg sio wakutuchezea mpira ule tena final ni dharau kubwa ile.
Kocha ana kariri madesa.
We jamaa huchezeagi kabisa fursa za kufanya unafiki na uchochezi 😁😁😁[emoji106] Mbege10 wewe ni shabiki pekee humu wa Arsenal anaejielewa.
Wenzio karibia wote hawapendi kuona mtu anazungumzia mapungu na madhaifu ya timu yao, hivyo jiandae kisakolojia kabisa kukosolewa, kubezwa, kutukanwa, kuitwa mamluki, humu kuna misukule mingi yaani hata uje na facts yenyewe hailewi, hata timu izingue namna gani yenyewe inataka timu isifiwe tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ni fact mkuu, huyu Mbege10 nimemfatilia muda mrefu sana jamaa anajua ball, tatizo lake ni kushabikia timu ya wanazi ambao wanachojua wao ni mapambio tu, hawataki kabisa kuona mtu mwenye mtazamo tofauti na wao wanavyotaka.We jamaa huchezeagi kabisa fursa za kufanya unafiki na uchochezi [emoji16][emoji16][emoji16]
Najua unanipamba hahahaha.Mbege10 wewe ni shabiki pekee humu wa Arsenal anaejielewa.![]()
Wenzio karibia wote hawapendi kuona mtu anazungumzia mapungufu na madhaifu ya timu yao, hivyo jiandae kisakolojia kabisa kukosolewa, kubezwa, kutukanwa, kuitwa mamluki.
Humu kuna misukule mingi yaani hata uje na facts yenyewe hailewi, hata timu izingue namna gani yenyewe inataka timu isifiwe tu.
You are worried about next season, msimu ambao hata haujaanza. Na huonekani kuappreciate kilichotokea last season.Bodi ya tumbaku au ya nyama.
Kuwa kiakili sio kila ujumbe ujibu vingine soma halafu unakalia nyama.
Umeshndwa kujua lawama na maoni tofauti yake ipo wapi.You are worried about next season, msimu ambao hata haujaanza. Na huonekani kuappreciate kilichotokea last season.
Yes we grinded out victories na labda ni uchovu wa wachezaji au sababu zako ulizotaja. Tatizo lako unalaumu kana kwamba tupo kwenye bottomless pit we can't crawl out of. Hapo ndipo tulipotofautiana.