Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Leo tena nitakua nacheki hii mechi ya city na Palace sitarajii city kuanguka kwakua palace hakuna atachogain hata akikaza. Mostly ni kwakua atagain akishinda fainali kuliko akimzuia City leo.

So chochote kitachotokea mi nitakua live
 
Hizi mechi Arsenal tunashinda
Nilikuwa na hofu na mechi ya West Ham
Kwakuwa ni timu ya London,
Hizi timu za London zinatula mechi ngumu sana
MUNGU atusaidie.

Maana mara yangu ya mwisho kupata hyo furaha ni 2004 nilikuwa mdogo.
 
Palace
Leo tena nitakua nacheki hii mechi ya city na Palace sitarajii city kuanguka kwakua palace hakuna atachogain hata akikaza. Mostly ni kwakua atagain akishinda fainali kuliko akimzuia City leo.

So chochote kitachotokea mi nitakua live
Palace watakushangaza leo.
 
Hii game ya leo ndio game pekee ya palace anayopaswa kucheza bila presha.

Kifupi ndio anayomalizia msimu leo.

City kinachombeba ni home ground ila mechi sio ya polepole kwake.
 
Hii game ya leo ndio game pekee ya palace anayopaswa kucheza bila presha.

Kifupi ndio anayomalizia msimu leo.

City kinachombeba ni home ground ila mechi sio ya polepole kwake.
Oya hii timu leo itapanga kikosi kama alichopangiwa Spurs watu wakalalamika
 
Mkuu Mkohoti siku hawa kenge wakichukua hata kakombe kamoja tu itabidi ujipige ban hata ya mwezi mmoja ili wenge liwatoke kwanza maana watakujazia nzi sana hadi PM kwako. Najua kwa sasa wanasevu tu comments zako kwa matumizi ya baadaye
 
Kama kuna mtu anaangalia mechi atakubali nilichopoint kwamba Palace hawekezi nguvu tena kwenye ligi.
Kampumzisha Wharton, Kamada, Sarr na wanacheza bila plan unless wabadilike.
 
Back
Top Bottom