Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 37,919
- 75,763
Matyako yako
Shindeni FA cup tuje tukutane community shield tuwapakate Tena....kuminya mbupu mshafanya msimu mzima haijasaidia....sasahivi tafuteni Kocha wa kueleweka ili msimu ujao walau mkikutana na sisi mtupe upinzani kidogo.....tumechoka kuwafunga Kila siku majirani
Acha maneno mengi, pa1 na kubebwa bado msimu huu mnatoka patupu. Labda huyo refa wenu wampe mechi zote zilizobaki achezeshe.Shindeni FA cup tuje tukutane community shield tuwapakate Tena....kuminya mbupu mshafanya msimu mzima haijasaidia....sasahivi tafuteni Kocha wa kueleweka ili msimu ujao walau mkikutana na sisi mtupe upinzani kidogo.....tumechoka kuwafunga Kila siku majirani
Ngapi ngapi spurs??Mbuzi mbuzi wote waliodai wanafungwa ili Arsenal asipate ubingwa nipo hapa kuwachawia.
Sasa hivi nipo na Spurs na game yao na Leeds
Anaongoza mojaNgapi ngapi spurs??
Kama isemavyo signature yako, "Nothing lasts Forever" mkuu.Mkuu arsenal hii haionyeshi dalili ya kurudi kwenye peak ya msimu jana na juzi, tena wenge la fainal ndio litawatoa mchezoni kabisa maana sio kawaida yao kabisa.
Hana sifa, hakimpendezi..Kuna sababu ya msingi zaidi ya UINGEREZA wake ya kwanini Saka amepewa kitambaa cha unahodha pale Arsenal?
Washuke tu daraja wasenge hawa.Kenge Spurs zimesuluhu. Mechi mbili za mwisho wamebakisha ni dhidi ya Cheltako na Everton.
Kwani huyu asiwe mchezaji bora wa ligi?Biggest save qmmk
View attachment 3586806