Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tulichukua WC mbele ya psg
Endelea kubwabwaja ndugu Mbege Jr

20260510_124910.jpg
 
Chuki mbaya kubababake.

Kuna makundi mawili.

Kundi moja linasema Raya kushikwa mikono siyo faulo.

Kuna kundi linasema ni faulo ila mbona Arsenal na wenyewe hua wanachezea faulo kipa?

Unabaka kushangaa haya mazenge yanawaza nini?
 
Mbuzi mbuzi wote waliodai wanafungwa ili Arsenal asipate ubingwa nipo hapa kuwachawia.

Sasa hivi nipo na Spurs na game yao na Leeds
 
Shindeni FA cup tuje tukutane community shield tuwapakate Tena....kuminya mbupu mshafanya msimu mzima haijasaidia....sasahivi tafuteni Kocha wa kueleweka ili msimu ujao walau mkikutana na sisi mtupe upinzani kidogo.....tumechoka kuwafunga Kila siku majirani
Acha maneno mengi, pa1 na kubebwa bado msimu huu mnatoka patupu. Labda huyo refa wenu wampe mechi zote zilizobaki achezeshe.
20260511_201654.jpg
 
Moja moja. Beki wa Spurs karuka tiktaka kwenye boksi mguu ukatua usoni kwa Ampadu
 
Kenge Spurs zimesuluhu. Mechi mbili za mwisho wamebakisha ni dhidi ya Cheltako na Everton.
 
Back
Top Bottom