Ulitoa avatar ya wenger mkuu 😃nashangaa mgeni gani huyuPalace wamepigwa chuma cha tatu
Haya yote ya villa, liverpool, bournemouth na hata city hayana mashiko tena sahivi.Villa next game anacheza na Liverpool.
Points wise hata Liver anaweza kushushwa pale juu kama hatoshinda games zake zilizobaki.
So Liverpool tunaamini atamfunga Villa. Villa akizingua fainali hapa sasa ndiyo atarudi kupambania kwenda CL kupitia nafasi ya ligi. Ila akimfunga Liverpool, basi anakuja kajihakikishia kwenda CL na hatokua na haja na fainali wala ushindi dhidi ya City.
Hii ni wake up call kwa Arteta na bench lake.
Unataka Villa akushindie kombe?Sina uelewa ni kivipi watu walihisi Palace ataisimamisha City.
Now dhidi ya Villa ni mechi yao ya mwisho ya msimu na Villa hana haja ya ushindi kwa City. Unless fainali yake Europa iote mbawa na kwenye ligi walio chini yake wawe serious.
Walio chini yake ni Bournemouth na Brighton, hatumhesabu Brighton kwakua hachezi na City. Nafikiri watu wengi walijudge kutokana na jina la timu hawakuzingatia factors zingine za msingi.
Villa game ya mwisho ya msimu haina maanaUnataka Villa akushindie kombe?
eMbu komaeni mechi zenu ndio zimebeba hatima yenu kwasasa.
Very important game kesho Liver vs Villa. As you said, ushindi kwa Villa kesho, basi UCL qualification guaranteed na nguvu atatumia zaidi kwenye final kuliko mechi ya City.Villa next game anacheza na Liverpool.
Points wise hata Liver anaweza kushushwa pale juu kama hatoshinda games zake zilizobaki.
So Liverpool tunaamini atamfunga Villa. Villa akizingua fainali hapa sasa ndiyo atarudi kupambania kwenda CL kupitia nafasi ya ligi. Ila akimfunga Liverpool, basi anakuja kajihakikishia kwenda CL na hatokua na haja na fainali wala ushindi dhidi ya City.
Hii ni wake up call kwa Arteta na bench lake.
Hawawezi kuchukua chochote hawa mbugila, hata wenyewe wanajua kua wananux, mpk sasa ilikua tayar washakunya, ni juhudi za refa ndio mana mpk sasa hiz kima zinapumua.Mkuu Mkohoti siku hawa kenge wakichukua hata kakombe kamoja tu itabidi ujipige ban hata ya mwezi mmoja ili wenge liwatoke kwanza maana watakujazia nzi sana hadi PM kwako. Najua kwa sasa wanasevu tu comments zako kwa matumizi ya baadaye
Kwa mpira wenu huo wa kubahatisha bahatisha ndio mnaamini mtachukua nao kombe!! Kuweni seriousWe jamaa bado umekaza tu fuvu mbona wenzio wameshakubali.
Wewe mpaka ufe itabidi kichwa chako kitenganishwe na mwili la sivyo utachukua muda mrefu Sana kukata roho
Hili kombe litachukuliwa hata kwa wizi. Kenge kabisaKwa mpira wenu huo wa kubahatisha bahatisha ndio mnaamini mtachukua nao kombe!! Kuweni serious
Ndio kilichobaki, mana hata hao Barnley naona mkistrugle kuwafunga.Hili kombe litachukuliwa hata kwa wizi. Kenge kabisa
Wanakula 3+Ndio kilichobaki, mana hata hao Barnley naona mkistrugle kuwafunga.
Ndio muombe sana mungu mpate kona za kutosha.Wanakula 3+
Endelea kubwabwaja kama kawaida yako.Aliependekeza rice awepo kwnye hii list, akamatwe anyongwe.
View attachment 3588789
Unashangaa kwanini Caicedo na Enzo hawapo? Kenge hamjui kitu punda kabisa. Mnakaa kufananisha mcheza mpira na wazenge wazenge halafu vitu kama hivi mnaona mnaonewaAliependekeza rice awepo kwnye hii list, akamatwe anyongwe.
View attachment 3588789