Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sina uelewa ni kivipi watu walihisi Palace ataisimamisha City.

Now dhidi ya Villa ni mechi yao ya mwisho ya msimu na Villa hana haja ya ushindi kwa City. Unless fainali yake Europa iote mbawa na kwenye ligi walio chini yake wawe serious.

Walio chini yake ni Bournemouth na Brighton, hatumhesabu Brighton kwakua hachezi na City. Nafikiri watu wengi walijudge kutokana na jina la timu hawakuzingatia factors zingine za msingi.
 
Villa next game anacheza na Liverpool.

Points wise hata Liver anaweza kushushwa pale juu kama hatoshinda games zake zilizobaki.

So Liverpool tunaamini atamfunga Villa. Villa akizingua fainali hapa sasa ndiyo atarudi kupambania kwenda CL kupitia nafasi ya ligi. Ila akimfunga Liverpool, basi anakuja kajihakikishia kwenda CL na hatokua na haja na fainali wala ushindi dhidi ya City.

Hii ni wake up call kwa Arteta na bench lake.
 
Villa next game anacheza na Liverpool.

Points wise hata Liver anaweza kushushwa pale juu kama hatoshinda games zake zilizobaki.

So Liverpool tunaamini atamfunga Villa. Villa akizingua fainali hapa sasa ndiyo atarudi kupambania kwenda CL kupitia nafasi ya ligi. Ila akimfunga Liverpool, basi anakuja kajihakikishia kwenda CL na hatokua na haja na fainali wala ushindi dhidi ya City.

Hii ni wake up call kwa Arteta na bench lake.
Haya yote ya villa, liverpool, bournemouth na hata city hayana mashiko tena sahivi.
Mchawi wa arsenal aliyebaki ni arsenal pekee. Kama akishinda mechi zake mbili zilizobaki hao wengine hata waamue wenyewe wafungane ngapi ngapi, top position haitabadilika. Haina hata haja ya kufuatilia matokeo ya city.
Arteta awanyang'anye wachezaji simu waondokane na presha za media, awaonyeshe tu mikanda ya burnley na palace.
 
Sina uelewa ni kivipi watu walihisi Palace ataisimamisha City.

Now dhidi ya Villa ni mechi yao ya mwisho ya msimu na Villa hana haja ya ushindi kwa City. Unless fainali yake Europa iote mbawa na kwenye ligi walio chini yake wawe serious.

Walio chini yake ni Bournemouth na Brighton, hatumhesabu Brighton kwakua hachezi na City. Nafikiri watu wengi walijudge kutokana na jina la timu hawakuzingatia factors zingine za msingi.
Unataka Villa akushindie kombe?
eMbu komaeni mechi zenu ndio zimebeba hatima yenu kwasasa.
 
Online watu wanalalamika kikosi alichopanga Palace dhidi ya City 😂😂😂. But everything was there to deduce, shida ni nini kwani?
 
Villa next game anacheza na Liverpool.

Points wise hata Liver anaweza kushushwa pale juu kama hatoshinda games zake zilizobaki.

So Liverpool tunaamini atamfunga Villa. Villa akizingua fainali hapa sasa ndiyo atarudi kupambania kwenda CL kupitia nafasi ya ligi. Ila akimfunga Liverpool, basi anakuja kajihakikishia kwenda CL na hatokua na haja na fainali wala ushindi dhidi ya City.

Hii ni wake up call kwa Arteta na bench lake.
Very important game kesho Liver vs Villa. As you said, ushindi kwa Villa kesho, basi UCL qualification guaranteed na nguvu atatumia zaidi kwenye final kuliko mechi ya City.

Draw dhidi ya Liver, itamaanisha ni MUST kuwin either FINAL or game vs CITY, depending pia na matokeo ya City vs Bournemouth weekend hiii. The thing about draw, inampa matumaini Bournemouth dhidi ya City. Huku Brighton anaitaka hiyo nafasi ya 6 for UCL qualification if Villa win Final+Finishing top 5.

Liver akishinda, hapa ndo Jumapili itakua fainali Sasa Bournemouth vs City. Vita ni kubwa sanaa.

Mathematically, even Newcastle ana chance ya European football next season, na yupo nafasi ya 13.This is one of the most competitive league, every game count kwa ubingwa, UCL qualification, Europa, Conference na kuwa relegated
 
Mkuu Mkohoti siku hawa kenge wakichukua hata kakombe kamoja tu itabidi ujipige ban hata ya mwezi mmoja ili wenge liwatoke kwanza maana watakujazia nzi sana hadi PM kwako. Najua kwa sasa wanasevu tu comments zako kwa matumizi ya baadaye
Hawawezi kuchukua chochote hawa mbugila, hata wenyewe wanajua kua wananux, mpk sasa ilikua tayar washakunya, ni juhudi za refa ndio mana mpk sasa hiz kima zinapumua.
 
We jamaa bado umekaza tu fuvu mbona wenzio wameshakubali.

Wewe mpaka ufe itabidi kichwa chako kitenganishwe na mwili la sivyo utachukua muda mrefu Sana kukata roho
Kwa mpira wenu huo wa kubahatisha bahatisha ndio mnaamini mtachukua nao kombe!! Kuweni serious
 
Aliependekeza rice awepo kwnye hii list, akamatwe anyongwe.
20260514_211227.jpg
 
Back
Top Bottom