Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Man of the match akiipambania team
Screenshot_20260510_203120_CRICFy%20TV.jpg
 
Aston Villa nao ni wagumu aisee
City ana game ngumu
Hiyo ya palace anashinda
Yaaap ila naisemea ya Palace kwasababu ndio game pekee Palace anatakiwa kucheza bila presha.

Game na Arsenal Palace atapaswa kupumzisha players wake muhimu ili apambanie kombe.

Akileta ujuaji basi kitamlamba kwenye mechi 1.
 
Yaaap ila naisemea ya Palace kwasababu ndio game pekee Palace anatakiwa kucheza bila presha.

Game na Arsenal Palace atapaswa kupumzisha players wake muhimu ili apambanie kombe.

Akileta ujuaji basi kitamlamba kwenye mechi 1.
Hizi mechi Arsenal tunashinda
Nilikuwa na hofu na mechi ya West Ham
Kwakuwa ni timu ya London,
Hizi timu za London zinatula mechi ngumu sana
 
Game ya kumtingisha City ilikua ni ya Brentford na ya Bournemouth tu.

Hii ni kwakua hao wawili kushinda au suluhu inaamua next season waende wapi.

Sasa unampigia vipi hesabu Villa ambaye yupo nafasi ya tano tayari na yupo fainali Europa? Huyu CL ana options mbili kupitia trophy au kubaki hapo nafasi ya tano.
Hata matokeo yao yamekua mabovu coz wamewekeza kwenye Europa.

Huyu ili umpigie hesabu ni inabidi apoteze games, mfano hii suluhu na Burnley, na apoteze fainali.

Crystal palace yupo nafasi ambayo hana haja ya ushindi coz haendi kokote. Ila akishinda conference anaenda Europa. Unahisi kocha wa Palace alivyosema hana haja na kuifunga Arsenal anafocus na fainali unadhani ana haja ya kuifunga City?

Timu ambazo really zilitakiwa kuisimamisha City ni Brentford na Bournemouth na Brentford kashakufa jana.
 
Back
Top Bottom