Game ya kumtingisha City ilikua ni ya Brentford na ya Bournemouth tu.
Hii ni kwakua hao wawili kushinda au suluhu inaamua next season waende wapi.
Sasa unampigia vipi hesabu Villa ambaye yupo nafasi ya tano tayari na yupo fainali Europa? Huyu CL ana options mbili kupitia trophy au kubaki hapo nafasi ya tano.
Hata matokeo yao yamekua mabovu coz wamewekeza kwenye Europa.
Huyu ili umpigie hesabu ni inabidi apoteze games, mfano hii suluhu na Burnley, na apoteze fainali.
Crystal palace yupo nafasi ambayo hana haja ya ushindi coz haendi kokote. Ila akishinda conference anaenda Europa. Unahisi kocha wa Palace alivyosema hana haja na kuifunga Arsenal anafocus na fainali unadhani ana haja ya kuifunga City?
Timu ambazo really zilitakiwa kuisimamisha City ni Brentford na Bournemouth na Brentford kashakufa jana.