BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 6,209
- 12,315
Mkuu bado mnakazi ngumu sana.Kubababake hii ndiyo Harmonize alisema ridhiki papatu papatu.
Haya haters kazi kwenu
Pressure kwenu ni kubwa sanaa.
Mkuu bado mnakazi ngumu sana.Kubababake hii ndiyo Harmonize alisema ridhiki papatu papatu.
Haya haters kazi kwenu
Au sio, 2 games remaining Burnley na palace.Mkuu bado mnakazi ngumu sana.
Pressure kwenu ni kubwa sanaa.
Haya ndio magoli ya kihuni ninayoyakataa. Kwa mara ya kwanza naona leo bahati ilikua upande wetu. Westham wamekosa clear chances kama 2 hiviMatyako yako, angalia kwa makini
View attachment 3586804
Endapo Arsenal atafanikiwa kutwaa ubingwa, game ya Budapest itakuwa nzuri sana kutazama. Tegemea kuangalia like soka Arsenal alikuwa akicheza mwanzoni mwa msimu akiwa hana pressure yeyote.Hivi kule Budapest nako mnaenda kucheza aina hii ya mpira au tutarajie mwingine?
Halafu kwa nyuma Todibo nae alikuwa ameshika jersey anavuta.Matyako yako, angalia kwa makini
View attachment 3586804
Kushinda wenye mechi mkononi au siyo?Mkuu bado mnakazi ngumu sana.
Pressure kwenu ni kubwa sanaa.
Huyu asingeweka hili konga ile ya Todibo kuvuta ingeweza kufunikwaMatyako yako, angalia kwa makini
View attachment 3586804
Unaekimbizwa ndie unaeteseka.Kushinda wenye mechi mkononi au siyo?
Ngoja Bournemouth watujibu kwenye hiliUnaekimbizwa ndie unaeteseka.
City hana pressure na hana cha kupoteza.. Anachosubiri ujikwae kwa mara ya mwisho.
Todibo nae alikuwa ndiye aliyemshika jersey Raya anamvuta nyuma.Huyu asingeweka hili konga ile ya Todibo kuvuta ingeweza kufunikwa
Mashabiki wa mkopo wa mancity hao ..Ngoja Bournemouth watujibu kwenye hili
Haya sasa. TuendeleeKwa msimamo ulipo sasa mtu wa 13 anaweza pia kushuka daraja lakini ili iwe hivyo inabidi mtu wa 18 ashinde mechi zake tatu alizobakisha.
Timu ya nafasi ya 18, Westham, imebakisha mechi dhidi ya Arsenal, Newcastle na Leeds. Timu ya 13 ikishinda games zake zilizobaki anaweza kwenda Europa.
Nimekuta baadhi ya mashabiki wa Arsenal wanasema dhid ya Westham itakua easy pia game dhidi ya Burnley itakua easy kwavile Burnley ameshashuka daraja.
Nimekuonyesha kwanini game dhidi ya Westham haitakua nyepesi halafu nakukumbusha kwamba West Bromwich walimpiga Chelsea 5 huku West Bromwich ikiwa imejihakikishia kushuka daraja.
Kama unamkumbuka Maitland Niles alikua kwa mkopo WestBrom wakati wanawanyoosha tano. Notice kwamba hiyo timu itacheza kwa kurelax kuzidi wewe, inaweza kuamua kwamba inapaki basi tu wala hawana haja ya kuvuka hata dimba na hauna unachoweza kuwafanya.
Westham hawatokua relaxed ila wanapambanis uhai, sielewi ni kivipi hii mechi watu wanaona itakua nyepesi.
Kwa sasa kwetu kila game ni final. Hua tunashinda magoli matano games za mwisho wa mwaka halafu hua naandika "Haina haja kwa tulipofikia kuscore magoli mengi" maajabu yake msimu huu yale magoli mengi hatufungi tena.
Arsenal to death