secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 17,350
- 33,933
2 matches.3 matches to GO.
2 matches.3 matches to GO.
Naambiwa Paul Kagame anazidi kufutuka sababu ya matokeo bora ya Arsenal.Arsenal wanajaribu kunitofautishia kati ya raha na furaha .. yan kuishabikia arsenal ni furaha kweli.
Mpaka nimeanza kunenepa.
C’mon. PSG too. 2 EPL 1 UCL2 matches.
Nemeelewa sasa 💪🔥.C’mon. PSG too. 2 EPL 1 UCL
Game na palace kwa city imekaa kimtego sana. Alafu huyo palace anatabia ya kumsumbua cityKuanzia tarehe 13 City atakua na games kila baada ya siku mbili. Usually hua ikifika miezi hii anakua anaongoza ligi with wide gaps so it doesn't really matter.
This time around City ana game na Palace, ana fainali na Chelsea (I hope Chelsea afungwe kwakua mashabiki wake ni wapuuzi) kisha siku mbili mbele ana Bournemouth wanaohitaji kwenda CL.
View attachment 3586918
Karibuni jukwaa la chelkenge tuwape mafunzo ya kumfunga PSG, mafunzo yataanza J5 hii mpaka trh 28 na masomo kwa muda wote huo ni bure.
Karibuni.
Ww n Kakuma-kamoto
Umemsahau kepa mzee wa benchi Ila kubeba makombe uhakikaWazee EPL mmeshabeba, tuongezeeni angalau pesa kidogo kwa Madueke na Kai wamechangia kutwaa ubingwa. Acheni ubahili basi
Mkuu arsenal hii haionyeshi dalili ya kurudi kwenye peak ya msimu jana na juzi, tena wenge la fainal ndio litawatoa mchezoni kabisa maana sio kawaida yao kabisa.Endapo Arsenal atafanikiwa kutwaa ubingwa, game ya Budapest itakuwa nzuri sana kutazama. Tegemea kuangalia like soka Arsenal alikuwa akicheza mwanzoni mwa msimu akiwa hana pressure yeyote.
Wazenge na kikundi chenu cha wahuni mmekula chuma nane, mna kipi cha kufundisha?Ww n Kakuma-kamoto
Tulichukua WC mbele ya psgWazenge na kikundi chenu cha wahuni mmekula chuma nane, mna kipi cha kufundisha?View attachment 3587204