Arsenal win, kula chuma hichoMathematically Burnley na Wolverhampton wameshaenda na maji .....Bado mmoja ambaye ni spurs ama West Ham... spurs ana point 37, West Ham 36.... wote wana chance ya kupigania hadi pumzi ya mwisho....
Kwa EPL walau ili uwe safe kwenye relegation zone upambane uokote walau point 40+.... wote hawa wawili wanapambania hilo ....
Sitoshangaa Leo mkaliwa ama mka_draw... mechi ni ngumu sana, majamaa yanataka kubaki EPL na nyie mnataka ubingwa baada ya miaka karibia 30 !
Lolote liwakute
Westham ya tandahimbaFriends of Westham
Sawa mkuu... na iwe hivo...wacha tusubiri! Nipo nawaangalia hapa, Ben nje...kwa hiyo kule kulia mashambulizi yanapunguaArsenal win, kula chuma hicho
Sub mbovu sana..Sijui tuangalie mpira.Hii sub ya arteta, could be costly
White kaumia. Ni sub ya lazimaSub mbovu sana..Sijui tuangalie mpira.
Hukulazimishwa uwekeze kwetu Mkuu 😂 Tulia, sisi Arsenyembo tunataka kufungwa tuuHamuonyeshi dalili ya kuigungua backline ya Hammers, mnarukaruka tu kama kuku aliyekatwa shingo. Hamjui kuwa tumewekeza pesa zetu kwenu
Angeingia Mosquera. Rice hapaswi kutoka CMWhite kaumia. Ni sub ya lazima