Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal tulifungwa na City tukawa points sawa.

Declan Rice akasema "It's not done"

Arteta akasema "We have to fight til the end"

Pundits wakasema Arsenal tunajipa moyo hili swala la kombe la EPL limeishia pale kwakua City hashikiki akifika February.

Everton akasuluhu na City.

Haaland, Silva, page ya City ya X wakasema "We will fight to the end"

Pep akasema "After this game it's Arsenal's to lose"

Pundits wakasema hii sasa ndiyo mentality ya mabingwa.

Kubababake πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Utaumia kichwa ukiwa hujui kitu kuhusu nini kinaendelea. Kinachoendelea ni kwamba hakuna anayetaka Arsenal achukue ubingwa.
Pep amesema hivyo siyo kwavile amekata tamaa, anahamisha zigo la responsibility kwa Arsenal ili asiangaliwe yeye. Watu waanze kuiassess Arsenal.

A month back, Semenyo alikua kwenye podcast akijieleza jinsi alivyowaomba wenzake wa Bournemouth waizuie Arsenal. Zikatembea interview Doku akieleza ni kwanini waliazimia kuchukua Carabao ili kuiumiza akili Arsenal.

Leo hawa watu wamekuja na wimbo wa "Fight to the end" na pundits wanasema mentality ya mabingwa ipo hivi.
 
Huyu mtu wa kuitwa Kepa Arrizabalaga ana upepo wa kipekee. Anabeba ndoo with zero performance. 2023-24 kachukua la liga na ucl kwenye bench akiwa Real Madrid na msimu huu inaelekea kuwa the same kwenye squad ya Arsenal
 
Rival fan base hawaamini kabisa wanachoshuhudia
 
Ikiwa hivi wanangu tuandae kasherehe, tuombe tupate,
Ila arteta asilete u senge wake kila game fainali
 
Na tukichukua ubingwa ni kwa uzembe wa city, sio ubora wetu..
Paul scholes alitoa kauli akaonekana ana dharau ila huo ndio ukweli arsenal sio timu bora kiviiile, tuna matatizo, tunasubiri udhaifu wa mpinzani tuchukue kombe na sio ubora wetu..
Yote kwa yote historia humkumbuka mshindi tu, ikitokea tumenyenyua ndoo historia itasema ni arsenal hakuna cha ubovu wala nini.. man u kuna misimu alichukua kombe akiwa hovyo na kwa wizi end of a day haukumbukwi wizi wake.
 
Mliocheki game jana, tuliupiga mwingi ama ni matatizo ya moyo tu?
Mechi ya Kule Metropolitano ilishatoa jibu nani anaenda final....jana ilikuwa kukamilisha ratiba...tumebakisha final mbili....j2 dhidi ya west ham na kule Budapest....hawa vibaka wanaokuja hmu ndani waombe tubebe ligi kuu tu basi ila tukibeba na UEFA🀠🀠🀠....watafute pa kujifichia
 
Mliocheki game jana, tuliupiga mwingi ama ni matatizo ya moyo tu?
Kipindi cha Kwanza Atletico walipigwa msako wa nyani ikabidi weweke ukuta wa Yeriko

Baada ya kufungwa goli walilazimika kutanua uwanja kwa lengo la kutafuta goli ila tukawakalia ngumu.
Walipata clear chances mbili pekee mechi nzima bt hawakuzitumia ipasavyo.

Dakika 15 za mwisho Atletico walikamia Sana mechi nusura watufunge.
 
City hachukui kombe
 
Hivi unajua mwaka jana PSG katutoa kwa sababu ya ubora wa donaruma na sio walituzid mpira
mechi zote mbili ndio alikuwa MAN OF THE MATCH
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…