kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,743
- 17,512
Nilisema hapa na imetokea.... ngoja fainali mkashangazwe huko.... mfundishwe unachezwajeWazee kazeni Leo muende final ......
Natamani sana mfike final, Ili mkashangazwe na kufundishwa mpira unavyochezwA....
Mtachagua wenyewe forward ya kina olise, kane ama ya kina kvara , dembele ?
Hawa wahuni Atlet wakienda final wanaenda kuaibishwa vibaya sana kulingana mpira wanaocheza.... the same applies to kwenu !!!!
Football entertainment..... baadae mapema sana kwenye kideo