Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wazee kazeni Leo muende final ......

Natamani sana mfike final, Ili mkashangazwe na kufundishwa mpira unavyochezwA....
Mtachagua wenyewe forward ya kina olise, kane ama ya kina kvara , dembele ?

Hawa wahuni Atlet wakienda final wanaenda kuaibishwa vibaya sana kulingana mpira wanaocheza.... the same applies to kwenu !!!!

Football entertainment..... baadae mapema sana kwenye kideo
Nilisema hapa na imetokea.... ngoja fainali mkashangazwe huko.... mfundishwe unachezwaje
 
Mwendo wameumaliza wehu hawa. Wanajipa matumaini hewa. wanafikiri PSG ni Fulham pumbav kbs.

Sema Simione nae inabidi aachane na mambo ya ukocha.
Timu yako iko fainali ya kombe gani mkuu. The only team to reach UCL finals without losing ikafundishwe mpira, the best defensive team in the tournament ikafundishwe mpira?

Mashabiki huwa mna tabia ya kuongea tu, hata tukifungwa fainali, hakuna mtu wa kuifundusha arsenal mpira.
 
Kylian Mbappe mchezaji ambaye Madrid walifosi kusajili mpaka ukatokea ugomvi na PSG akaja kua top earner kwenye kikosi.

Mashabiki wakaamini wamepata jibu la kuburuzwa na Barcelona na dunia wakaandika vitisho vya kutosha. Leo hii mashabiki milioni 1.2 wamepiga kura kutaka Mbappe auzwe.

Hii ni kufuatia swala la nidhamu la Mbappe na jinsi anavyoharibu dressing room.

Sikuwahi kuelewa ni kivipi mchezaji ambaye timu inafanya counter anaamua kususa kwakua pasi hajagewa yeye amegewa Messi wewe unamnunua ukidhani huyo ni suluhu.
 
Timu yako iko fainali ya kombe gani mkuu. The only team to reach UCL finals without losing ikafundishwe mpira, the best defensive team in the tournament ikafundishwe mpira?

Mashabiki huwa mna tabia ya kuongea tu, hata tukifungwa fainali, hakuna mtu wa kuifundusha arsenal mpira.
CIty alishawatia gundu ile fainali jiandaeni tu kuvaa medali na sio kunyanyua kwapA
 
Mwendo wameumaliza wehu hawa. Wanajipa matumaini hewa. wanafikiri PSG ni Fulham pumbav kbs.

Sema Simione nae inabidi aachane na mambo ya ukocha.
Mzee umechanganyikiwa au unasema mwendo wameumaliza wakati its a final ndiyo mechi ya mwisho ya mashindano hilo neno haliingii hapo. Endeleeni kufanya maombi tulikose ila tukilipata mjiandae
 
Maxence Melo mkuu weka option ya kubookmark na reminder kwaajili ya watu kama hawa
Option ipo. Tafadhali angalia vema

IMG_4126.jpeg
 
Sasa wazee hata kama siyo shabiki wa Arsenal but Kwa ustawi wa mpira Yule Atletico hafai kucheza fainali kabisa, Timu ina kocha mzoefu but still wanacheza kama watu wa ndondo, Bora Arsenal kuna kitu unakiona wanakionesha uwanjani, Leo sasa ndo kuna mechi ya end to end, lots of running, lots of risk passes...Fainali inaweza kuwa nzuri maana mmoja anaweza kukomboa muda wowote na mwingine anaweza kuzuia asifungwe.
 
Mwendo wameumaliza wehu hawa. Wanajipa matumaini hewa. wanafikiri PSG ni Fulham pumbav kbs.

Sema Simione nae inabidi aachane na mambo ya ukocha.
Simieone mhuni tu yule...hana tena zile profile zinazompambania...the likes of akina miranda, godin, Diego Costa n.k ! Alimuotea barca kipindi ambacho ana majeruhi ya key players ... ! Arsenal fainali anaenda kufundishwa mpira ... ebu angalia mfano mid ya neves, vitinha, ruiz... alafu njoo kwa wanetu wana skelly na rice, Odegaard!
 
Back
Top Bottom