Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Friends of Madrid tupo hapa mapema sana ๐Ÿ˜Ž
Na wewe utahama permanent kama mwenzako au wewe unakodishwa baada ya kipigo unarudishwa ulipotoka?

 
Kikosi kilichompasua fulham ndio tumalize nacho ligi na uefa.
Kile ndio kikosi kilichocheza mpira wa kasi na kuleta impact ya magoli yanayoeleweka na sio magoli ya kihuni (magoli ya kona)

Playing style ya odegard inatuchelewa hili utaliona akicheza Eza unaona jinsi gani odegard ametuzoea vibaya sisi kama arsenal fans

Zubimendi anahitajika kua-adapt mpira wa kasi na ku-take risk panapo hitajika. Ila kama tutakua na dream kubwa zaidi utagundua zubimendi bado hatoshi
 
Kuna siku ilikua big match nilisema bora acheze downman kuliko madueke
Game na city madueke ata kutuliza mpira alikua anatetemeka

Games zilizobak sub ya saka bora aingie downman kuliko huyo mpuuzi aya ya kwanza
 
Mashabiki wa Arsenal sijui sisi ni we hu?! Hatueleweki.
 
Kwa kila game iliyobaki probability ya arsenal kushinda ni 90% (0.9โ‰ˆ1)
in mathematics context we call SURE EVENT

Kuna uwezekano mkubwa tukatangazwa ubingwa game na burnley illa itapendeza zaidi katika game ya mwisho na crystal palace. So nipo kumuombea city game zake zilizobaki ashinde

 
Upo mkoa gani nikuunganishe na watakaoalikwa kula pilau kwa mkorea
 
Kinachomponza atletico ni jina la mwisho, mwenzake real tulimshughulikia nje ndan. Yeye kaponea chupuchupu kwao maana akija ugenini ni mazishi. Bukayo saka is back

Popote tunapokutana na timu inayoishia na jina madrid arsenal inakua lidudu lakutisha sana. Kamuulizen rodri, vini, mbape

Fainal tukutane na yoyote yule. Au bayern na psg waungane watoe first eleven tukutane puskas budapest
 
Pamoja na mashabiki kuongea sana, kubeza sana ila Arteta ameifikisha Arsenal semi final back to back na hopefully final after 20yrs, ukimbeza mtu wa namna hiyo tunasema unahemkwa. Amefanya makubwa kuitransform timu hadi kufikia hatua hii.

As for now, EPL ipo mikononi mwetu, tushindwe wenyewe, Man City ana draw nyingine inakuja, sisi tushinde two games and we're crowned champions after 22yrs of waiting.
 
Na mna bahati world cup ipo mbeleni hapo itapunguza sherehe๐Ÿค ๐Ÿค ๐Ÿค ...ila tukinyanyua kwapa kuwasimanga kuko pale pale....na yule beki wetu Heavens mlomchukua tunamtaka....hamuwezi kuiba vijana wetu kienyejienyeji hivi
 
Natamani Kikosi cha Leo kiwe;
Raya
White. Saliba Gabi. Calafior
Rice. Zubi
Saka. Eze. Martinel
Gykores
Full time Arsenal 2 Madrid 1
 
Sasa ni hivi.

David Raya ameshinda tuzo ya Golden Gloves.

Hii ni kwakua ana clean sheets 17. Wa karibu anayeweza kufika hapo ni Donnaruma ambaye kabakisha mechi 4, zote akipata clean sheets atakua nazo 17 pia.

So itakua ni joint victory na wote watalamba tuzo. Ila Raya kajihakikishia tayari.
 
False hopers Huwa mna mikwara na tambo nyingi sana .
Kwamba unaomba city nae ashinde ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ . Hapo Bado mjanyanyua kombe je mkilibeba kabisa mmh
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ