AmenEeeh mungu tutakushukuru hata kwa hichi kidogo.
View attachment 3578330
Mkuu unawapa kichwa hawa kima now wanakamilisha ratiba tu.Madueke, kai na Eze ndio forward line yetu sio ?
Na mnataka eipielo ......
Kazeni mk****ndu. ..mshinde, mkidraw, au mkifungwa ubingwa kwishnei
Mkuu hawa kima maji tupo nao bega kwa bega..... wakitoa kichwa nje wanakula nyundo..... uefa na eipielo wataisikilizia kwenye bomba !!!!Mkuu unawapa kichwa hawa kima now wanakamilisha ratiba tu.