Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wanangu wa Arsenal huu msimu ikitokea tumetoka patupu tena dawa za kupozea maumivu hizi hapa😔
20260423_140345.jpg
 
Mashibiki wa hii timu wote hakuna la maana........
Wote mshikwe mabega tu !!!!

Hakuna kombe lolote, basi msitoke kapa, mshikwe mabega .....
Bado wananafasi ya kufanya vizuri chief hususani wakizidisha dua ya kumuombea njaa mpinzani
 
Mashibiki wa hii timu wote hakuna la maana........
Wote mshikwe mabega tu !!!!

Hakuna kombe lolote, basi msitoke kapa, mshikwe mabega .....
I can see Arsenal is living rent free in your numb skull.
You're always typing Arsenal this... Arsenal that... please have some rest Bana hata Mungu mwenyewe alipumzika
 
I can see Arsenal is living rent free in your numb skull.

You're always typing Arsenal this... Arsenal that... please have some rest Bana hata Mungu mwenyewe alipumzika
Hakuna bla bla.... mshikwe mabega, ndo kombe lenu !!! Sililizieni show ya Pep kwenye hizi game chache
 
Ukweli wasioujua mashabiki wa Arsenal ni kwamba mashabiki pinzani hawawachukii ila wanatufurahisha kwa namna workdone ya msimu mzima inavyobadilika kuwa zero licha ya uwekezaji mkubwa na matumaini kibao
 
Kama ni project, Arteta kafanya sehemu yake na kaweka msingi mzuri unaoonekana. Lakini bahati mbaya sio kocha mwenye utashi wa kubeba makombe maana anaishiwa mbinu mbadala kipindi flani. Fikiria ndani ya misimu 3 au 4 Kocha anaishia kuwa nafasi 2 halafu bado una matumaini naye ya kukutengenezea timu ya makombe uko mbeleni?

Nakumbuka msimu wa 2011/2012 SAF alivyokosa kombe kwa tofauti ya magoli ya kufunga, usajili wake uliakisi mapungufu aliyoyaona msimu uliopita, akamleta RvP na msimu uliofuata akachukua kombe kwa mchango mkubwa wa Van Persie. Msimu wa kwanza wa Pep 2026/17alifanya sajili karibia 8 hivi lakini akaishia nafasi ya 3, msimu uliofuata akaleta wachezaji wazuri hadi kufikia kubeba ndoo. Sasa rudi kwa Arteta, anauza Partey anamleta Zubimendi na Norgaard, Madueke na mabeki wahuni wa kiitaliano ili kucheza haram football. Kimsingi arsenal hakukosa ubingwa msimu uliopita sababu ya defence, bali offense. Tuliongea humu kwamba Partey alikuwa anawapa bima akina Rice wanaonekana world class lakini mkamletea Zubimendi mwishowe jamaa haonekani kwenye attack mara kwa mara kama ilivyokuwa msimu jana.

Narudia tena, hata kama ikitokea bahati mbaya Arsenal akachukua ubingwa msimu huu anatakiwa kuondoka Arsenal kama mnataka kuendelea kugombea mataji ila kama ndoto ya uongozi ni kuchukua kombe moja na kuendelea kufanya biashara ya jezi, basi ni kocha sahihi wa kutoa burudani ya inverted fullback na overloading ila mwishoni mtakuwa Netflix
 
Since matchday 7 Arsenal yupo nafasi ya kwanza ghafla zimebaki game 7 with 9 points ahead unaambia game week 33 arsenal ni second 🥈 place .

Anatokea kenge mmoja amebeba energy drinks kibao unamuuliza hizo energy drinks za nini? Anakuambia ametumwa na Arteta zinasaidia kubeba ubingwa 😀.

Unamkalisha chini huyu kenge tena kiti Cha mbele kabisa unampa ream paper kubwa unaanza kushusha lecture ya kwanini arsenal ni false hopers na si timu ya ubingwa , unakuta kwenye ream paper ameandika few short on target standard is directly proportional to ubingwa.
Unasikitika anakuambia una trauma😂😂😂.
Hapo ndipo unagundua hata makenge pia huingia mkenge.
 
Arteta hastahili kuendelea kuwa kocha wa Arsenal hata kama itatokea imebeba kombe.

Kocha mwenye akili hawezi kumtumia Odegaard kwa kiwango kile na mechi ile akiwa katoka majeruhi.

Huyu ni pandikizi la Mqn city ila tu wale maboss fala hawajagundua.
 
Back
Top Bottom