Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

🤣🤣🤣 Namuona Masingeli jinsi anavyochungulia kwenye hili jukwaa huku anachekelea kimoyomoyo, anatamani kinoma aendeleze false hopes zake humu ila anajua akitia tu mguu wahuni wataruka nae.
Mwanangu Masingeli we endelea tu kuchungulia hivyohivyo, ila siku ukijichanganya tu ukaanza kuandika ngonjera zako, basi utakua ndio rasmi umetia gundu, Arsenyau lazima itaanza kugongwa hovyohovyo.
hamis77 Rudi kundini Wana wamekumiss eti😅
 
🤣🤣🤣 Namuona Masingeli jinsi anavyochungulia kwenye hili jukwaa huku anachekelea kimoyomoyo, anatamani kinoma aendeleze false hopes zake humu ila anajua akitia tu mguu wahuni wataruka nae.
Mwanangu Masingeli we endelea tu kuchungulia hivyohivyo, ila siku ukijichanganya tu ukaanza kuandika ngonjera zako, basi utakua ndio rasmi umetia gundu, Arsenyau lazima itaanza kugongwa hovyohovyo.
Mbona yupo hapa kwa User name nyingine, chunguza mwenye kamdomo kareeeeefu. Ni yeye kabisa.
 
Kenge Labyrinth 84 yupo kimya huwezi kumuona humu kwa sababu tumeshinda na Nyukesto yake imekandwa huko.

Anasubiri tufungwe kisha aje na paragraph zake zizizo na mashiko.
Na nilimwambia huu msimu atatetesaka Sana.
Niongee nini sasa? Muda wenu huu wakutamba false hopers lazima nikose maneno.
Naona leo dua zenu zote zipo kwa liverpool, akishinda tuu mpaka hamis atarudi sijui kwa id ipi jackwillpower ,aron arsenal au zote kwa pamoja. Hapo vipigo ndo vitaanza rasmi.

Computerarsenal muda mrefu sijamuona humu . Dua zote kwa man city maana tutawaeleza nini hawa false hopers wakiwa points 9 ahead watuelewe.
 
Uzuri wa timu kupambania ushindi bila kutegemea wengine wateleze ni haikusumbui kwenye matokeo yao.

Chelsea na United kushinda imefanya mashabiki waone jinsi gani hali ipo complicated kuliko kujaza servers za X na JF
 
Pep ameswitch formation anakipiga na 4 3 3 ile 4 1 4 1 kaiditch kashaona hali imekua tata.
 
Ujio wa AI za bure mtu akimix code kidogo kwenye kushangilia au akapigwa chenga kazi anayo.
20260208_194900.jpg
 
Uwezo wa kubeba EPL mbele ya City na Liverpool hamna Bado 😀😀😀

1. Carabao cup: FALSE HOPE🔞
2:EPL loading: FALSE HOPE🔞
3: UEFA loading: FALSE HOPE🔞
4: FA Cup : FALSE HOPE🔞
 
Jamaa anajifanya ana pumzi ya kutosha, mimi naamini with maturity and the right mentality tunao uwezo wa kupiga zote 13, paka yeye mwenyewe hapohapo kwao, afu tunamuacha acheze mpira sisi tunampiga set pices za kumkeraaa, na carabao tunampiga goli la kona moja tu afu tunashikilia bomba, this Arsenal team is Diego simeone on steroid
 
Team zinazosaka ubingwa mnaziona lakini? Team dk 84 ipo nyuma inarudisha na kushinda palepale anfield , nyinyi mpo emirates hata chance za maana hamkutengeneza.

13 games to go ila wanangu false hopers mbona kama bahati hamna kabisa leo hata mimi nilikua naomba mshinde😆.
Kama ingetokea kwenu mngeweza kurudisha na kushinda kweli? anyway
 
Team zinazosaka ubingwa mnaziona lakini? Team dk 84 ipo nyuma inarudisha na kushinda palepale anfield , nyinyi mpo emirates hata chance za maana hamkutengeneza.

13 games to go ila wanangu false hopers mbona kama bahati hamna kabisa leo hata mimi nilikua naomba mshinde😆.
Kama ingetokea kwenu mngeweza kurudisha na kushinda kweli? anyway
Naomba uongelee mechi ya Tottenham na City.
Ilikuwaje Tottenham pamoja na majeraha yote walionayo walifanikiwa kuchomoa goli za City na nusura waondoke na ushindi
 
Mapema yote hii ? Man city mliwapita points8 bado game 8 na still wakawa mabingwa , hizi 6 unaona nyingi eti?.
That was a different Manchester city and a different Arsenal and today we have a different Arsenal and different Manchester city.

Let that sink in.
 
Back
Top Bottom