Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kenge Labyrinth 84 yupo kimya huwezi kumuona humu kwa sababu tumeshinda na Nyukesto yake imekandwa huko.

Anasubiri tufungwe kisha aje na paragraph zake zizizo na mashiko.
Na nilimwambia huu msimu atatetesaka Sana.
Niongee nini sasa? Muda wenu huu wakutamba false hopers lazima nikose maneno.
Naona leo dua zenu zote zipo kwa liverpool, akishinda tuu mpaka hamis atarudi sijui kwa id ipi jackwillpower ,aron arsenal au zote kwa pamoja. Hapo vipigo ndo vitaanza rasmi.

Computerarsenal muda mrefu sijamuona humu . Dua zote kwa man city maana tutawaeleza nini hawa false hopers wakiwa points 9 ahead watuelewe.
 
Uzuri wa timu kupambania ushindi bila kutegemea wengine wateleze ni haikusumbui kwenye matokeo yao.

Chelsea na United kushinda imefanya mashabiki waone jinsi gani hali ipo complicated kuliko kujaza servers za X na JF
 
Pep ameswitch formation anakipiga na 4 3 3 ile 4 1 4 1 kaiditch kashaona hali imekua tata.
 
Ujio wa AI za bure mtu akimix code kidogo kwenye kushangilia au akapigwa chenga kazi anayo.
20260208_194900.jpg
 
Uwezo wa kubeba EPL mbele ya City na Liverpool hamna Bado 😀😀😀

1. Carabao cup: FALSE HOPE🔞
2:EPL loading: FALSE HOPE🔞
3: UEFA loading: FALSE HOPE🔞
4: FA Cup : FALSE HOPE🔞
 
Jamaa anajifanya ana pumzi ya kutosha, mimi naamini with maturity and the right mentality tunao uwezo wa kupiga zote 13, paka yeye mwenyewe hapohapo kwao, afu tunamuacha acheze mpira sisi tunampiga set pices za kumkeraaa, na carabao tunampiga goli la kona moja tu afu tunashikilia bomba, this Arsenal team is Diego simeone on steroid
 
Team zinazosaka ubingwa mnaziona lakini? Team dk 84 ipo nyuma inarudisha na kushinda palepale anfield , nyinyi mpo emirates hata chance za maana hamkutengeneza.

13 games to go ila wanangu false hopers mbona kama bahati hamna kabisa leo hata mimi nilikua naomba mshinde😆.
Kama ingetokea kwenu mngeweza kurudisha na kushinda kweli? anyway
 
Team zinazosaka ubingwa mnaziona lakini? Team dk 84 ipo nyuma inarudisha na kushinda palepale anfield , nyinyi mpo emirates hata chance za maana hamkutengeneza.

13 games to go ila wanangu false hopers mbona kama bahati hamna kabisa leo hata mimi nilikua naomba mshinde😆.
Kama ingetokea kwenu mngeweza kurudisha na kushinda kweli? anyway
Naomba uongelee mechi ya Tottenham na City.
Ilikuwaje Tottenham pamoja na majeraha yote walionayo walifanikiwa kuchomoa goli za City na nusura waondoke na ushindi
 
Mapema yote hii ? Man city mliwapita points8 bado game 8 na still wakawa mabingwa , hizi 6 unaona nyingi eti?.
That was a different Manchester city and a different Arsenal and today we have a different Arsenal and different Manchester city.

Let that sink in.
 
Naomba uongelee mechi ya Tottenham na City.
Ilikuwaje Tottenham pamoja na majeraha yote walionayo walifanikiwa kuchomoa goli za City na nusura waondoke na ushindi
Ilikua ni nature, arsenal bila false hopes hamuezi kuishi so lazima itokee.
Anyway tusubiri game yako na city tuone battle mtaliweza au mtalialia tena mara maturity au winning mentality.
Nakukumbusha tena 13 games to go mkiwa mnaongoza ligi kwa points 6.
 
Ilikua ni nature, arsenal bila false hopes hamuezi kuishi so lazima itokee.
Anyway tusubiri game yake na city tuone battle mtaliweza au mtalialia tena mara maturity au winning mentality.
Nakukumbusha tena 13 games to go mkiwa mnaongoza ligi kwa points 6.
December tulikuwa tumewaacha City na alama 2 pekee yake.
Ukawa kila siku unaimba pambio zako eti hatutavuka mwaka mpya kama bado tunaongoza.

Leo hii zimebaki mechi 13 tu ligi kuisha.
Nimekuuliza swali kwanini walifumble kwenye mechi ya Tottenham badala ya kunipa majibu ya kueleweka unaanza kuniambia upuzi eti ilikuwa ni nature.
What nature are you talking about?
 
Back
Top Bottom