Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa mujibu wa shabiki wao mmoja aliyepotea humu jukwaani, King Kai ni mtaalamu wa INVERTED PRESSING haijawahi kutokea duniani. Yaani anajiweka kwenye nafasi ambayo anazuia wachezaji zaidi ya wawili wa timu pinzani wasionekane na kupasiwa mipira kwa wakati mmoja
Nimeona niwakilishe hili ninalolijua ila mengine narudishe mic kwa wenye timu yao
Na uwezo mkubwa wa kuwin mipira ya juu.
 
Watu wapo training ground wako busy kuangalia video za TikTok, halafu wanawaza ubingwa.
Hivi nyinyi kenge ubingwa mnauchukuliaje?

Sporting tupo nao jumatano walete raha kabisa makenge wachanganyikiwe .
Team kuanzia dakika ya kwanza inawaza kuzuia tu
Manena, sporting ya kimara labda, ana kufa kifo kikatili huyo sporting
 
Manena, sporting ya kimara labda, ana kufa kifo kikatili huyo sporting
Tutakuwepo j5 sio mbaliii, kuna jamaa arsenal tv alikua na Imani kama yako anaitwa Dan mpaka wengine wakampa jina la Dan positive ila jana kavua shati ***** anasema kachoka false hopes.

Analalamika mpaka mtoto wake amemuona father muongo maana Kila mwaka anampa ahadi atampeleka Emirates kwenye parades la ubingwa lakini mpaka sasa mwaka wa 4 huu dogo hajaenda.

Nikakumbuka hamiss 77 alimuahidi mwaka juzi mtoto wake atamnunulia jezi ya arsenal endapo itachukua ubingwa mpaka Leo hollla😂
 
Tutakuwepo j5 sio mbaliii, kuna jamaa arsenal tv alikua na Imani kama yako anaitwa Dan mpaka wengine wakampa jina la Dan positive ila jana kavua shati ***** anasema kachoka false hopes.

Analalamika mpaka mtoto wake amemuona father muongo maana Kila mwaka anampa ahadi atampeleka Emirates kwenye parades la ubingwa lakini mpaka sasa mwaka wa 4 huu dogo hajaenda.

Nikakumbuka hamiss 77 alimuahidi mwaka juzi mtoto wake atamnunulia jezi ya arsenal endapo itachukua ubingwa mpaka Leo hollla😂
J5 usi ulize we pigia mstari, arsenal ana shinda kwa 2+
 
Nimeanza kushabikia Newcastle tayari Nina carabao cup .
Ukubwa wa arsenal ni upi?? Nembu kwa unyenyekevu nielezee hata kidogo tu ukubwa wa arsenal?
Kuna high expectations na false hopes nyinyi hamna expectations zozote mna false hopes.
Ukubwa wa Arsenal

13 Premier league titles
14 FA cups( record holders)
2 Carabao cups
17 community shields
1 continental cup
1 invincible ( 2003/04)
Never relegated
Huge fan base
 
Ukubwa wa Arsenal

13 Premier league titles
14 FA cups( record holders)
2 Carabao cups
17 community shields
1 continental cup
1 invincible ( 2003/04)
Never relegated
Huge fan base
Ili uwe mkubwa lazima uwe na champions league hapo silioni Hilo kombe . Anyway twende taratibu
13 EPL ( last time 2003/2004) hivi unamjua 2003 halland alikua hajazaliwa na foden pia? Halland na foden wamezaliwa wamekuta team haijachukua EPL wamecheza wakachukua EPL zaidi ya 4 arsenal still 0 saivi wanaenda kustaafu.
Carabao cup(1992) 😂😂

Kufupisha story ndani ya muongo 1 ( miaka 10) ili uwe team kubwa inatakiwa uwe umechukua at least makombe 3 nitajie hayo makombe mliochukua within 10 years
 
Team kubwa uingereza ni Liverpool, Man city, Chelsea na Manchester united. Vigezo na masharti vimezingatiwa.
 
Ili uwe mkubwa lazima uwe na champions league hapo silioni Hilo kombe . Anyway twende taratibu
13 EPL ( last time 2003/2004) hivi unamjua 2003 halland alikua hajazaliwa na foden pia? Halland na foden wamezaliwa wamekuta team haijachukua EPL wamecheza wakachukua EPL zaidi ya 4 arsenal still 0 saivi wanaenda kustaafu.
Carabao cup(1992) 😂😂

Kufupisha story ndani ya muongo 1 ( miaka 10) ili uwe team kubwa inatakiwa uwe umechukua at least makombe 3 nitajie hayo makombe mliochukua within 10 years
Miaka kumi on whose criteria? We jamaa kama hujui unachoongelea bi heri ukae kimya kuliko kuongea na kudhihirisha ujinga wako.

Ni kwa criteria/ vigezo vya Nani eti kwamba ili timu iwe kubwa lazima iwe umeshinda Premier league na UCL ndani ya miaka kumi?
 
Ili uwe mkubwa lazima uwe na champions league hapo silioni Hilo kombe . Anyway twende taratibu
13 EPL ( last time 2003/2004) hivi unamjua 2003 halland alikua hajazaliwa na foden pia? Halland na foden wamezaliwa wamekuta team haijachukua EPL wamecheza wakachukua EPL zaidi ya 4 arsenal still 0 saivi wanaenda kustaafu.
Carabao cup(1992) 😂😂

Kufupisha story ndani ya muongo 1 ( miaka 10) ili uwe team kubwa inatakiwa uwe umechukua at least makombe 3 nitajie hayo makombe mliochukua within 10 years
Team kubwa uingereza ni Liverpool, Man city, Chelsea na Manchester united. Vigezo na masharti vimezingatiwa.
Comments zako zinaonyesha jinsi ulivyo na akili za kitoto na hujui chochote kuhusu mpira.

Sasa umri wa Haaland na Foden unahusiana nini na Arsenal?
Wewe unajua Arsenal ilianzishwa mwaka gani na kabla hao Haaland na Foden kuzaliwa ilikuwa imeshinda makombe mangapi?

Acha kutumia kichwa kama kifuniko cha shingo kenge wewe.
 
Miaka kumi on whose criteria? We jamaa kama hujui unachoongelea bi heri ukae kimya kuliko kuongea na kudhihirisha ujinga wako.

Ni kwa criteria/ vigezo vya Nani eti kwamba ili timu iwe kubwa lazima iwe umeshinda Premier league na UCL ndani ya miaka kumi?
Haya basi nakuongezea miaka 10 mingine haya miaka 20 .

Unajiitaje mkubwa na ndani ya miaka 20 huna kombe? Ukubwa wa team unaletwa na makombe na consistencies ya kuyachukua hayo makombe that's all mzee na si kingine
 
Comments zako zinaonyesha jinsi ulivyo na akili za kitoto na hujui chochote kuhusu mpira.

Sasa umri wa Haaland na Foden unahusiana nini na Arsenal?
Wewe unajua Arsenal ilianzishwa mwaka gani na kabla hao Haaland na Foden kuzaliwa ilikuwa imeshinda makombe mangapi?

Acha kutumia kichwa kama kifuniko cha shingo kenge wewe.
Halland au foden umri wao unahusiana vizurrii tu , ngoja nikueleweshe maana arsenal fans Huwa hamna akili zaidi ya false hopes moyoni ila kichwani ni watupu

Halland na foden wanawakilisha generation ya watu wenye miaka 25 na wengine wengine ambao toka wanazaliwa mpaka sasa hawajawahi kuona Arsenal imebeba kombe lolote la maana ila wameona Chelsea, man city, man UTD na Liverpool wakiwa wamebeba kombe.

Utaanza vipi kuwaeleza arsenal ni team kubwa wakuelewe wakati toka wanazaliwa mpaka wanapata watoto still arsenal hana kombe ukubwa wake ni upi sasa.
Wewe mwenyewe hujawahi kuona Arsenal ikiwa imebeba kombe zaidi ya mara 2 na pengine hujawahi kabisa.

Ukubwa wa team yoyote ni uwezo wa kubeba makombe na cosintency yake kwenye kubeba hayo makombe. Hio ndio criteria yangu ya team kubwa.

Nipe criteria yako na wewe mpaka ukaiweka arsenal kwenye team kubwa?
 
Back
Top Bottom